Hujui Mwinyi ni mkuu wa chuo MUHAS? JK UDSMMwinyi ni mkuu wa chuo gani? Mkwere je?
Au anaongea kindoto zaidi
Hii ni Tanzania mkuu, hatupangiwi na mabeberuKuna watu wengi nafikiri wanaweza kuteuliwa hizo nafasi, kwanini hawa marais wasipumzike na kutoa ushauri wa mambo mbali mbali?
Hajui huyo .. na Benja pia siilikuwa hivyo hivyo enzi za Jk !?Hujui Mwinyi ni mkuu wa chuo MUHAS? JK UDSM
Ndio nasikia kwakoHujui Mwinyi ni mkuu wa chuo Muhas? JK udsm
NashangaaHajui huyo .. na Benja pia siilikuwa hivyo hivyo enzi za Jk !?
Mkwere udsmMwinyi ni mkuu wa chuo gani? Mkwere je?
Au anaongea kindoto zaidi
Yaani jiwe naye akistaafu apewe ukuu wa Chuo. Hawa marais wastaafu wangekaa kando hizo nafasi wapewe watu wengine.
Hizi nafasi ni ceremonial na hata kipato chake kwa mwaka hakifiki 6m
Nafasi hizi hazina Mishahara kama vile Wenyeviti wa bodi
Kwa Mwaka kuna statury meeting 4 na kila kikao posho haifiki 2m
Nafasi hizi wanapewa kwa sababu za kisiasa za kuwafanya wawe karibu na vyuo kwa kuwa vyuoni ndio chimbuko la Siasa za kupinga watawala
Utopolo huu uko hapa Bongo tu. Sijawahi kuusikia kwingine kokote...
Watu wana posho za kutosha na wanatunzwa na kufanyiwa kila kitu na serikali wao na wake zao mpaka watakapokufa lakini bado wanapewa ulaji...
Kwan ana mpango wa kustaafu?Yaani jiwe naye akistaafu apewe ukuu wa Chuo. Hawa marais wastaafu wangekaa kando hizo nafasi wapewe watu wengine.
Benja mpaka umauti alikuwa mkuu wa chuo UDOMHajui huyo .. na benja pia siilikuwa hivyo hivyo enzi za Jk !?