nyampanaga
JF-Expert Member
- Nov 16, 2012
- 1,104
- 559
UN Kwao Usalama Wa Marais wanachama siyo ishu eti?Alienda kama rais JMT kwa mwaliko maalum na JF Kennedy,sio kuhudhuria UN Comittee.
UN Kwao Usalama Wa Marais wanachama siyo ishu eti?Alienda kama rais JMT kwa mwaliko maalum na JF Kennedy,sio kuhudhuria UN Comittee.
Nyerere alipokelewa kwa heshima sana na Kennedy,na kulikuwa na mwitiko mzuri sana kwa wamarekani.Leo Rais Wa JMT, Amewasili Nchini Marekani, kilichonisikitisha ni namna Alivyopokelewa, Amepokelewa As If Huku Kwetu Yeye ni Mwenyeketi wa Kijiji.
Hamna Mmarekani Anayejali kama Kuna Rais Wa Nchi Fulani Kaingia Nchini Kwao, Hata viongozi Wa Kiserikali Wa Marekani Nao Pia HawanaTime! Yaani Watanzania Wanaoishi Marekani Ndio walioJitokeza Kumpokea Rais Wa JMT.
Shida ni Nini? Ni sisi Ambao huwa Tunakuza Mapokezi Au Hawa Jamaa ni Wabaguzi? Haiwezekani Rais Akiwa anatoka Ulaya Akija Huku anapokelewa Na Rais Wa JMT tena Kwa Bashasha Lote na Wananchi Kibao na Ngoma Zinapigwa Airpot Hadi Ikulu kwa Msafara Mzitoo na Barabara zinafungwa, Lakini Rais Wetu Akienda Kwao Wanamuona As If Hamna Chochote inauma Sana.
Je, hii ni ishara ya ubaguzi? Kwanini Marais Wa Kiafrica hawathaminiwi wakienda nchi za Ulaya?
Mimi siko upande wwteKichaa(according to Dialo,
Sukuma gang hameni Nchi, naona bashite anawafadhili mumtukane Rais humu mitandaoni
Ushamba wa wazungu na waarabu utakutoa roho
Wewe inaonekana ndio unaumwa ugonjwa mkuu wa washamba wa waarabu kila siku dada zako wanauliwa saudia huko, hapa walikua wanachukua watumwaHivi kuna jamii duniani wa2wake wakalimu kama waarabu!!!! Tusemeni ukweli tu. Sema hujaishi nao ukawanote.
Joe Biden ingebidi ahamishie ofisi (Ikulu) airport ili kuwapokea marais wa nchi zote.Mathalani Rais wetu kipenzi mh. SSH amekwenda MAREKANI kwa ajili ya MKUTANO WA UMOJA WA MATAIFA-UNITED NATIONS GENERAL ASSEMBLY(UNGA) ambao huhudhuriwa na marais wengi sasa ulitaka AKAPOKELEWE NA mh.Rais Joe Biden?!!!Khaaa
Makirikiri hawakwenda?Mimi nashangaa sijaona wale makomando wetu wakimzungumka pande zote, na migari mingi mingi
Rais wa Zambia amekwenda na watu watatu tu, ukiondoa unit ya security yake ambayo nayo lazima ipunguzwe kwa safari kama hiyo.Sasa wengine Ni kama wameenda kutalii tu. Kuna mipango gani hapo UN ya kuendeleza Nchi yetu. Kama mipango ya maendeleo tusipoipanga kupitia Bunge na Mabaraza ya madiwani tusitarajie hivyo vikao kuwa na lolote. Nionavyo mimi wengine wameenda kutalii na kufanya Shopping. Ujinga kama huu ndo aliukataa Magufuli.
Wewe inaonekana ndio unaumwa ugonjwa mkuu wa washamba wa waarabu kila siku dada zako wanauliwa saudia huko, hapa walikua wanachukua watumwa
Sasa wewe unadandia treni kwa mbeleKatafute bwana, Kila analofanya Samia mnakosoa, nyie misukule ya dikteta mna tabu Sana, mnataka mama aongoze Nchi Kama alivyokuwa yule majinuni wenu
Dah,sorry mkuu, nilijua Ni Hawa wasioisha kulaumu kila kitu, sorry Sana chief, Yaan watz siku zote wamekuwa watu wakulaumu kila kituSasa wewe unadandia treni kwa mbele
Unakurupuka hata point yangu hjaelewa
Nani kamkosoa SSH
Nmewambiaaa jpm alipokuwa hasafiri mlikuwa mnalalamika
Huyu ana safari mnalalamika,hivi nyie wabongo
Mnataka nn,mnapigania nini???
Ova
💯Mimi siko upande wwte
Nawashanga wabongo hamjui
Mshikilie wapi,hamjui mnataka nn
Ndomana wanasiasa wanawaburuza
Ova
Kwani Biden na yeye hata shiriki mkutano?Wanajidharau wenyewe. Wanakurupuka wakipata sababu dhaifu za kwenda huko. Nasikia SSH amemuona Biden kwenye runinga tu.
Pole yako.
🤣👍Joe Biden ingebidi ahamishie ofisi (Ikulu) airport ili kuwapokea marais wa nchi zote.
😲🤣🤣Wewe kiaz ni UGA
Hapana, si ishara ya ubaguzi. Maana rais Samia (pamoja na marais wengine waliofika muda huohuo) hawakuja kutembelea Marekani. Walikuja kuhudhuria mkutano wa Umoja wa Mataifa mwenye makao makuu mjini New York.Leo Rais Wa JMT, Amewasili Nchini Marekani, kilichonisikitisha ni namna Alivyopokelewa, Amepokelewa As If Huku Kwetu Yeye ni Mwenyeketi wa Kijiji.
Hamna Mmarekani Anayejali kama Kuna Rais Wa Nchi Fulani Kaingia Nchini Kwao, Hata viongozi Wa Kiserikali Wa Marekani Nao Pia HawanaTime! Yaani Watanzania Wanaoishi Marekani Ndio walioJitokeza Kumpokea Rais Wa JMT.
Je, hii ni ishara ya ubaguzi? Kwanini Marais Wa Kiafrica hawathaminiwi wakienda nchi za Ulaya?