Kwanini Marais wa Kiafrika hawathaminiwi wakienda Nchi za Ulaya?

Leo Rais Wa JMT, Amewasili Nchini Marekani, kilichonisikitisha ni namna Alivyopokelewa, Amepokelewa As If Huku Kwetu Yeye ni Mwenyeketi wa Kijiji.

Hamna Mmarekani Anayejali kama Kuna Rais Wa Nchi Fulani Kaingia Nchini Kwao, Hata viongozi Wa Kiserikali Wa Marekani Nao Pia HawanaTime! Yaani Watanzania Wanaoishi Marekani Ndio walioJitokeza Kumpokea Rais Wa JMT.

Shida ni Nini? Ni sisi Ambao huwa Tunakuza Mapokezi Au Hawa Jamaa ni Wabaguzi? Haiwezekani Rais Akiwa anatoka Ulaya Akija Huku anapokelewa Na Rais Wa JMT tena Kwa Bashasha Lote na Wananchi Kibao na Ngoma Zinapigwa Airpot Hadi Ikulu kwa Msafara Mzitoo na Barabara zinafungwa, Lakini Rais Wetu Akienda Kwao Wanamuona As If Hamna Chochote inauma Sana.

Je, hii ni ishara ya ubaguzi? Kwanini Marais Wa Kiafrica hawathaminiwi wakienda nchi za Ulaya?
Ni kkewa sababu hawana thamani hasa ikizingatiwa kuwa wanatawala nchi tajiri lakini bado wanaombaomba na kujikomba komba
 
Sisi waafrika akili zetu tunazijua wenyewe!, Yaani kila kitu huku kwetu ni tukio au kiki.

Rais anapokea kila ndege inayonunuliwa kana kwamba mawaziri husika hawapo, aibu hizi.

Rais anazindua kiwanda cha vyerehani 6.

Rais anakagua/anazindua hadi miradi iliyopaswa kukaguliwa/kuzinduliwa na mtu wa chini kama diwani au mkuu wa wilaya.

Rais anaongelea madawati, jambo ambalo kuna waratibu elimu kutoka ngazi ya kata hadi Taifa.

Rais anaongelea barabara ya km 1 au 2 na bado watu wanapiga makofi kama sio mzaha ni kitu gani?

Akili za viongozi wengi wa Afrika zimejikita katika ubinafsi na uroho wa madaraka lakini pia na mambo ya uvyama, si unaona leo ni 2021 lakini mtu anaongelea 2025 wakati hajaanza kupimwa kwa chochote.
Watu wamepiga makofi na Kushangilia kusiko na mfano " viongozi kama hawa ndo unataka wapokelewe na kuthaminiwa? Ni aibu kubwa.

Viongozi wetu wameshatusoma kwamba watanzania ni watu wa vitu vidogo vidogo sio mambo makubwa na ndo maana serikali ikijenga hata chumba kimoja cha darasa au maabara tunanangwa au vituo vyote vya TV vinakuwa live bila kujua kwamba mambo kama haya pia wao kimataifa inawafanya wanaonekana wa kawaida sanaaaa, wajifunze.
 
Leo Rais Wa JMT, Amewasili Nchini Marekani, kilichonisikitisha ni namna Alivyopokelewa, Amepokelewa As If Huku Kwetu Yeye ni Mwenyeketi wa Kijiji.

Hamna Mmarekani Anayejali kama Kuna Rais Wa Nchi Fulani Kaingia Nchini Kwao, Hata viongozi Wa Kiserikali Wa Marekani Nao Pia HawanaTime! Yaani Watanzania Wanaoishi Marekani Ndio walioJitokeza Kumpokea Rais Wa JMT.

Shida ni Nini? Ni sisi Ambao huwa Tunakuza Mapokezi Au Hawa Jamaa ni Wabaguzi? Haiwezekani Rais Akiwa anatoka Ulaya Akija Huku anapokelewa Na Rais Wa JMT tena Kwa Bashasha Lote na Wananchi Kibao na Ngoma Zinapigwa Airpot Hadi Ikulu kwa Msafara Mzitoo na Barabara zinafungwa, Lakini Rais Wetu Akienda Kwao Wanamuona As If Hamna Chochote inauma Sana.

Je, hii ni ishara ya ubaguzi? Kwanini Marais Wa Kiafrica hawathaminiwi wakienda nchi za Ulaya?
Marais wanaojiheshimu na wanaoheshimu demokrasia na haki za binadamu
wanaheshimika ulaya, wale walioingia madarakani kwa nguvu na wizi wa kura nk huchukuliwa ka vibaka wengine wa mtaani
 
Sisi ndio tunaumiza vichwa na rais.....wao kwao ukishapata urais unafanya kazi kwa mujibu wa katiba Yao. Siyo hii ya kwetu rais anapangiwa hata kazi ya kuzindua choo Cha stendi. Hela zikitolewa utasikia rais Katoa, akianza ziara hata kwenda kwao mapumzikoni utasikia rais ameanza likizo. Kila kitu rais Hadi Sasa Ni common figure masikioni.
 
Leo Rais Wa JMT, Amewasili Nchini Marekani, kilichonisikitisha ni namna Alivyopokelewa, Amepokelewa As If Huku Kwetu Yeye ni Mwenyeketi wa Kijiji.

Hamna Mmarekani Anayejali kama Kuna Rais Wa Nchi Fulani Kaingia Nchini Kwao, Hata viongozi Wa Kiserikali Wa Marekani Nao Pia HawanaTime! Yaani Watanzania Wanaoishi Marekani Ndio walioJitokeza Kumpokea Rais Wa JMT.

Shida ni Nini? Ni sisi Ambao huwa Tunakuza Mapokezi Au Hawa Jamaa ni Wabaguzi? Haiwezekani Rais Akiwa anatoka Ulaya Akija Huku anapokelewa Na Rais Wa JMT tena Kwa Bashasha Lote na Wananchi Kibao na Ngoma Zinapigwa Airpot Hadi Ikulu kwa Msafara Mzitoo na Barabara zinafungwa, Lakini Rais Wetu Akienda Kwao Wanamuona As If Hamna Chochote inauma Sana.

Je, hii ni ishara ya ubaguzi? Kwanini Marais Wa Kiafrica hawathaminiwi wakienda nchi za Ulaya?
Kwanza tujiulize, kweli ni Marais halali? Yaani, je wamechaguliwa na wananchi kwa sheria zilizo rafiki kwa wananchi wote?
 
Umeenda mbali sana.

Raisi wa Tz na mtendaji wa kijiji yupi ana mapokezi ya shangwe nderemo na vifijo?.

Raisi wa Africa akienda Marekani anaonkana kama mtendaji tu, na lazima iwe hivyo. Tukitaka isiwe hivi tuwe na power.

Na tusipowapokea wao kwa shangwe hawatokuja tena na misaada hatutopata.

sisi tuna cha kupoteza. Wao hawana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Leo Rais Wa JMT, Amewasili Nchini Marekani, kilichonisikitisha ni namna Alivyopokelewa, Amepokelewa As If Huku Kwetu Yeye ni Mwenyeketi wa Kijiji.

Hamna Mmarekani Anayejali kama Kuna Rais Wa Nchi Fulani Kaingia Nchini Kwao, Hata viongozi Wa Kiserikali Wa Marekani Nao Pia HawanaTime! Yaani Watanzania Wanaoishi Marekani Ndio walioJitokeza Kumpokea Rais Wa JMT.

Shida ni Nini? Ni sisi Ambao huwa Tunakuza Mapokezi Au Hawa Jamaa ni Wabaguzi? Haiwezekani Rais Akiwa anatoka Ulaya Akija Huku anapokelewa Na Rais Wa JMT tena Kwa Bashasha Lote na Wananchi Kibao na Ngoma Zinapigwa Airpot Hadi Ikulu kwa Msafara Mzitoo na Barabara zinafungwa, Lakini Rais Wetu Akienda Kwao Wanamuona As If Hamna Chochote inauma Sana.

Je, hii ni ishara ya ubaguzi? Kwanini Marais Wa Kiafrica hawathaminiwi wakienda nchi za Ulaya?
Ungeweka references jinsi Marais wengine waliohudhuria hiyo UNGA walivyopokelewa tofauti na SSH.Kama kuna waliopokelewa na Biden tujuzane
 
nahisi kwenye hotuba yake atazungumzia wanawake kupewa nafasi za uongozi kama vile yeye ndio mwanamke wa kwanza kutawala
Hilo liko wazi. Na aonavyo yeye hiyo ndo Falsafa Yake. Kwa Wakristo wanafahamu pamoja na Mama Bikra Maria kuwa Mzazi wa Yesu, Mwana wa Mungu, Yesu hakuwahi kumwachia mama Yake Uongozi wa Kanisa. Yeye anataka kila Kitu Duniani kigawanywe kati ya wanawake na Wanaume. Mbona hajaenda kubeba Lumbesa kule Kariakoo?
 
Rais asiye na utambulisho wa kitaaluma, kipaji ama jambo lolote la kuweza kumtoa mzungu ofisini kwake usitegemee atapoelewa Kama unavyotaka mleta mada

Samia hajawahi hata kuandika makala kwenye vijigazeti achilia mbali magazeti yanayojulikana duniani. Wala hajawahi kutoa hotuba nzito iliyoweza kuhifadhiwa kama rejea ya vizazi vijavyo. Atampokea nani huyu?

Nyerere kwa uwezo wake wa kuandika vitabu na kutoa hotuba zenye mashiko wazungu walimheshimu sana ndiyo maana walikuwa wakimpokea
Wafuasi wa dikteta mna tabu wangese nyinyi, dikteta ana hotuba gani nzuri??! Au hile ya kumuambia mwananchi mavi yake hayaache nyumbani
 
Hilo liko wazi. Na aonavyo yeye hiyo ndo Falsafa Yake. Kwa Wakristo wanafahamu pamoja na Mama Bikra Maria kuwa Mzazi wa Yesu, Mwana wa Mungu, Yesu hakuwahi kumwachia mama Yake Uongozi wa Kanisa. Yeye anataka kila Kitu Duniani kigawanywe kati ya wanawake na Wanaume. Mbona hajaenda kubeba Lumbesa kule Kariakoo?
Eti mama wa mungu!! Majinga nyie, Sasa huyo mungu wenu yesu, wakati yupo tumboni kwa mama yake, mungu alikuwa Nani hapa duniani??! Kwaiyo kumbe mna chuki na Samia sababu ya dini yake!!
 
Sukuma Gang Wana hasira na Rais Samia, na atawanyoosha haswa, bashite anawafadhili mumtukane Rais humu
 
Leo Rais Wa JMT, Amewasili Nchini Marekani, kilichonisikitisha ni namna Alivyopokelewa, Amepokelewa As If Huku Kwetu Yeye ni Mwenyeketi wa Kijiji.

Hamna Mmarekani Anayejali kama Kuna Rais Wa Nchi Fulani Kaingia Nchini Kwao, Hata viongozi Wa Kiserikali Wa Marekani Nao Pia HawanaTime! Yaani Watanzania Wanaoishi Marekani Ndio walioJitokeza Kumpokea Rais Wa JMT.

Shida ni Nini? Ni sisi Ambao huwa Tunakuza Mapokezi Au Hawa Jamaa ni Wabaguzi? Haiwezekani Rais Akiwa anatoka Ulaya Akija Huku anapokelewa Na Rais Wa JMT tena Kwa Bashasha Lote na Wananchi Kibao na Ngoma Zinapigwa Airpot Hadi Ikulu kwa Msafara Mzitoo na Barabara zinafungwa, Lakini Rais Wetu Akienda Kwao Wanamuona As If Hamna Chochote inauma Sana.

Je, hii ni ishara ya ubaguzi? Kwanini Marais Wa Kiafrica hawathaminiwi wakienda nchi za Ulaya?

Una maana hawa wasiojua umuhimu wa uhuru, haki na usawa?

Na wapuuzwe tu!
 
Back
Top Bottom