Baba Swalehe
JF-Expert Member
- Jun 6, 2017
- 19,520
- 37,929
Wasiwasi wa nini mwanangu 😂Umepotea duh mpaka nilikuwa na wasisi
Makumbusho hamjambo?
Wasiwasi wa nini mwanangu 😂Umepotea duh mpaka nilikuwa na wasisi
Makumbusho hamjambo?
Sikuoni hapa au Mimi ndio sionekani?Wasiwasi wa nini mwanangu
Mbona ni kawaida duniani kote hasa marekani hebu fuatilia rais wa marekani anavyochambuliwa hadi anahesabiwa pumzi.Kama kawaida yetu waTZ, umekosa fikra, akili za kuchagua la kufanya, ukaona uandike kuhusu kukohoa kwa watu, kesho utakuja na kujikuna. Ndugu umekosa kazi, afadhali ukafanye mazoezi
Halafu bado 24/7 unanifuatilia tu hapa JamiiForums. Pumbavu.We jamaa kichwani ni mweupe sana
GENTAMYCINE amekulazimisha au hata Kukuomba uwe unamsoma hapa JamiiForums?Genta wa siku hizi hana tofauti na vitoto vya fesibuku na mada zao za uchwara.
Utopolo tuGENTAMYCINE amekulazimisha au hata Kukuomba uwe unamsoma hapa JamiiForums?
Mimi ndiyo " Purely Talented, Charismatic Fella, Game Changer and Entertainer " Mkuu sawa?
Fools kama huyo ( hao ) hawatokuelewa Mkuu. Wapo wengi sana katika Uzi wangu huu na wala hawajajua Meseji Kuntu ambayo nimeiweka katika huu Uzi na ambao nimeifumba ila najua Werevu wachache wameshanielewa.Mbona ni kawaida duniani kote hasa marekani hebu fuatilia rais wa marekani anavyochambuliwa hadi anahesabiwa pumzi.
Wenye Dawa ya Kunisaidia GENTAMYCINE niache Kudadisi sana mambo Magumu, Mazito na ya Siri ( ndani kabisa ) nipeni tafadhali.
Nimeangalia Hotuba za Marais Nyerere, Mwinyi na Mkapa sijawahi kuona popote walipokuwa ' Wakihutubia ' walipatwa na Changamoto ya ' Kukohoa ' hata kidogo tu.
Nimeangalia Hotuba za Marais Kikwete, Magufuli na hata Samia na Kugundua kuwa kila ' Wakihutubia ' basi hupatwa mno na Changamoto ya ' Kukohoa ' tena sana tu.
Nimewaza mengi mno juu ya ' Kukohoa ' Kwao hivi na sijapata Majibu na badala yake imenilazimu tu ili kutoliwaza sana hili nitafute Wimbo wowote wa Congo DR ambao " Dally Kimoko " amelikung'uta vilivyo Gitaa lake zuri la Solo niburudike.
Nimekuita uufungue Uzi wangu? Kwani JamiiForums nzima Thread ya Kusoma ni yangu tu?Utopolo tu
Na Msisitizo wangu mkubwa ambao nimeufumba upo hapo hapo katika hilo Gitaa la Solo la Dally Kimoko ambalo Wanaokohoa nahisi wanalicheza mno tu.Hapo kwenye dalilimoko mkuu una hatari
Wenye Dawa ya Kunisaidia GENTAMYCINE niache Kudadisi sana mambo Magumu, Mazito na ya Siri ( ndani kabisa ) nipeni tafadhali.
Nimeangalia Hotuba za Marais Nyerere, Mwinyi na Mkapa sijawahi kuona popote walipokuwa ' Wakihutubia ' walipatwa na Changamoto ya ' Kukohoa ' hata kidogo tu.
Nimeangalia Hotuba za Marais Kikwete, Magufuli na hata Samia na Kugundua kuwa kila ' Wakihutubia ' basi hupatwa mno na Changamoto ya ' Kukohoa ' tena sana tu.
Nimewaza mengi mno juu ya ' Kukohoa ' Kwao hivi na sijapata Majibu na badala yake imenilazimu tu ili kutoliwaza sana hili nitafute Wimbo wowote wa Congo DR ambao " Dally Kimoko " amelikung'uta vilivyo Gitaa lake zuri la Solo niburudike.
Halafu ni kwanini hapa JamiiForums kila Member ana Signature yake ila yangu GENTAMYCINE inawatesa na kuwakera sana? Je, mlinisadia katika Kuibuni na kuja nayo hapa JamiiForums tokea nijiunge mwaka 2013?Sijawahi kuona game changer na charismatic fella utopolo kama huyu.
Genta kubwa jinga.
Inasemekana Wanaokohoa wanacheza mno Gitaa zuri la Solo la Dally Kimoko Mkuu wengi wao tokea miaka 15 iliyopita na Mmoja wao miaka 10 iliyopita.Hawakuwa na kikohozi. Hata hapa mtaani kwangu kuna wenye kikohozi na wasionacho.
popoma mnakunaku na mfukunyukuInasemekana Wanaokohoa wanacheza mno Gitaa zuri la Solo la Dally Kimoko Mkuu wengi wao tokea miaka 15 iliyopita na Mmoja wao miaka 10 iliyopita.
Solo Gitaa la Dally Kimoko likikupenda ni lazima nawe utalicheza tu kwani hakuna namna Mkuu.popoma mnakunaku na mfukunyuku
Ila sasa yule mzee wa bata ananenepa sanaSolo Gitaa la Dally Kimoko likikupenda ni lazima nawe utalicheza tu kwani hakuna namna Mkuu.