Kwanini Marais Nyerere, Mwinyi na Mkapa walikuwa hawakohoi Wakihutubia, kama ilivyo kwa Marais Kikwete, Magufuli na Samia?

Kama kawaida yetu waTZ, umekosa fikra, akili za kuchagua la kufanya, ukaona uandike kuhusu kukohoa kwa watu, kesho utakuja na kujikuna. Ndugu umekosa kazi, afadhali ukafanye mazoezi
Mbona ni kawaida duniani kote hasa marekani hebu fuatilia rais wa marekani anavyochambuliwa hadi anahesabiwa pumzi.
 
Genta wa siku hizi hana tofauti na vitoto vya fesibuku na mada zao za uchwara.
GENTAMYCINE amekulazimisha au hata Kukuomba uwe unamsoma hapa JamiiForums?

Mimi ndiyo " Purely Talented, Charismatic Fella, Game Changer and Entertainer " Mkuu sawa?
 
Mbona ni kawaida duniani kote hasa marekani hebu fuatilia rais wa marekani anavyochambuliwa hadi anahesabiwa pumzi.
Fools kama huyo ( hao ) hawatokuelewa Mkuu. Wapo wengi sana katika Uzi wangu huu na wala hawajajua Meseji Kuntu ambayo nimeiweka katika huu Uzi na ambao nimeifumba ila najua Werevu wachache wameshanielewa.
 
Wenye Dawa ya Kunisaidia GENTAMYCINE niache Kudadisi sana mambo Magumu, Mazito na ya Siri ( ndani kabisa ) nipeni tafadhali.

Nimeangalia Hotuba za Marais Nyerere, Mwinyi na Mkapa sijawahi kuona popote walipokuwa ' Wakihutubia ' walipatwa na Changamoto ya ' Kukohoa ' hata kidogo tu.

Nimeangalia Hotuba za Marais Kikwete, Magufuli na hata Samia na Kugundua kuwa kila ' Wakihutubia ' basi hupatwa mno na Changamoto ya ' Kukohoa ' tena sana tu.

Nimewaza mengi mno juu ya ' Kukohoa ' Kwao hivi na sijapata Majibu na badala yake imenilazimu tu ili kutoliwaza sana hili nitafute Wimbo wowote wa Congo DR ambao " Dally Kimoko " amelikung'uta vilivyo Gitaa lake zuri la Solo niburudike.

Hapo kwenye dalikimoko na ngouma lokito mkuu una hatari
 
Hawakuwa na kikohozi. Hata hapa mtaani kwangu kuna wenye kikohozi na wasionacho.
Wenye Dawa ya Kunisaidia GENTAMYCINE niache Kudadisi sana mambo Magumu, Mazito na ya Siri ( ndani kabisa ) nipeni tafadhali.

Nimeangalia Hotuba za Marais Nyerere, Mwinyi na Mkapa sijawahi kuona popote walipokuwa ' Wakihutubia ' walipatwa na Changamoto ya ' Kukohoa ' hata kidogo tu.

Nimeangalia Hotuba za Marais Kikwete, Magufuli na hata Samia na Kugundua kuwa kila ' Wakihutubia ' basi hupatwa mno na Changamoto ya ' Kukohoa ' tena sana tu.

Nimewaza mengi mno juu ya ' Kukohoa ' Kwao hivi na sijapata Majibu na badala yake imenilazimu tu ili kutoliwaza sana hili nitafute Wimbo wowote wa Congo DR ambao " Dally Kimoko " amelikung'uta vilivyo Gitaa lake zuri la Solo niburudike.
 
Sijawahi kuona game changer na charismatic fella utopolo kama huyu.
Genta kubwa jinga.
Halafu ni kwanini hapa JamiiForums kila Member ana Signature yake ila yangu GENTAMYCINE inawatesa na kuwakera sana? Je, mlinisadia katika Kuibuni na kuja nayo hapa JamiiForums tokea nijiunge mwaka 2013?
 
Hawakuwa na kikohozi. Hata hapa mtaani kwangu kuna wenye kikohozi na wasionacho.
Inasemekana Wanaokohoa wanacheza mno Gitaa zuri la Solo la Dally Kimoko Mkuu wengi wao tokea miaka 15 iliyopita na Mmoja wao miaka 10 iliyopita.
 
Hawa kuwa na zile full coverage za media hivyo sio rahis kuona mambo mengine Ila ni kitendo cha kawaida sana


Kuna siku mtasema hawaendi chooni kwa kuwa hakuna ambaye camera iliwahmfata huko
 
Back
Top Bottom