Ncha Kali
JF-Expert Member
- Sep 19, 2019
- 14,488
- 26,968
Waigiza sauti . Ukiongea kwa sauti yako bila kuibana huwezi kukojoa mkuu.
Waigiza sauti . Ukiongea kwa sauti yako bila kuibana huwezi kukojoa mkuu.
Kazi na kitabu vmentinga mkuu acha kabisaSikuoni hapa au Mimi ndio sionekani?
Unaitafuta sasa Doctorate ya Ujasusi ( Unjagu ) baada ya kuwa na Masters Degree zako kadhaa?Kazi na kitabu vmentinga mkuu acha kabisa
😂😂😁😁Unaitafuta sasa Doctorate ya Ujasusi ( Unjagu ) baada ya kuwa na Masters Degree zako kadhaa?
Hongereni mnaosoma na wenye Elimu zenu Sisi wengine tumeishia zetu tu Darasa la Saba na tupo tupo tu.
Ujasusi na unjagu ndo nini aiseeUnaitafuta sasa Doctorate ya Ujasusi ( Unjagu ) baada ya kuwa na Masters Degree zako kadhaa?
Hongereni mnaosoma na wenye Elimu zenu Sisi wengine tumeishia zetu tu Darasa la Saba na tupo tupo tu.
Neno jingine la Ujasusi ( Spy ) ni Unjagu sawa?Ujasusi na unjagu ndo nini aisee
Kwamba mimi ni jasusiNeno jingine la Ujasusi ( Spy ) ni Unjagu sawa?
Wenye Dawa ya Kunisaidia GENTAMYCINE niache Kudadisi sana mambo Magumu, Mazito na ya Siri ( ndani kabisa ) nipeni tafadhali.
Nimeangalia Hotuba za Marais Nyerere, Mwinyi na Mkapa sijawahi kuona popote walipokuwa ' Wakihutubia ' walipatwa na Changamoto ya ' Kukohoa ' hata kidogo tu.
Nimeangalia Hotuba za Marais Kikwete, Magufuli na hata Samia na Kugundua kuwa kila ' Wakihutubia ' basi hupatwa mno na Changamoto ya ' Kukohoa ' tena sana tu.
Nimewaza mengi mno juu ya ' Kukohoa ' Kwao hivi na sijapata Majibu na badala yake imenilazimu tu ili kutoliwaza sana hili nitafute Wimbo wowote wa Congo DR ambao " Dally Kimoko " amelikung'uta vilivyo Gitaa lake zuri la Solo niburudike.