kidadike
Member
- Feb 19, 2013
- 33
- 28
Habari ya uzima wanajamvi.
Moja kwa moja naomba nielekee kwenye mada husika.
Katika utafiti wangu mdogo nimegundua kila mtu ana bahati ya kupendwa na mtu fulani lakini mara nyingi binadamu huwa hatuwapendi wale wanaotupenda kwa dhati na mwisho wa siku tunaangukia kupenda tusiko pendwa.
Hapo ndio balaa la kitu kinaitwa maumivu linaanza kutusumbua.
Hi ni kwanini hii hali inakuwa hivi na tufanye nini ili tuweze kuepuka kumpenda mtu asiekupenda kwa maana mtu kama hajakupenda kutoka moyoni ni vigumu kubadilisha mawazo yake zaidi atakudangany'a au kukuchuna tu
Moja kwa moja naomba nielekee kwenye mada husika.
Katika utafiti wangu mdogo nimegundua kila mtu ana bahati ya kupendwa na mtu fulani lakini mara nyingi binadamu huwa hatuwapendi wale wanaotupenda kwa dhati na mwisho wa siku tunaangukia kupenda tusiko pendwa.
Hapo ndio balaa la kitu kinaitwa maumivu linaanza kutusumbua.
Hi ni kwanini hii hali inakuwa hivi na tufanye nini ili tuweze kuepuka kumpenda mtu asiekupenda kwa maana mtu kama hajakupenda kutoka moyoni ni vigumu kubadilisha mawazo yake zaidi atakudangany'a au kukuchuna tu