Habari wadau
Kwa muda mrefu sasa nimekuwa najiuliza swala hilo kwenye heading bila jawabu naishia kujaribu kulinganisha na watu wengine mfano Mchoraji wa picha anachora picha pengine kwa siku 3 tu kisha anaandika jina lake vile vile companies zinaandika majina yao kwenye bidhaa zao pengine zimechukua mwezi tu kutengenezwa.
Kwanini Mama miezi tisa ya ujazito kisha mtoto anaitwa kwa jina la baba?
Kwa muda mrefu sasa nimekuwa najiuliza swala hilo kwenye heading bila jawabu naishia kujaribu kulinganisha na watu wengine mfano Mchoraji wa picha anachora picha pengine kwa siku 3 tu kisha anaandika jina lake vile vile companies zinaandika majina yao kwenye bidhaa zao pengine zimechukua mwezi tu kutengenezwa.
Kwanini Mama miezi tisa ya ujazito kisha mtoto anaitwa kwa jina la baba?