G Sam
JF-Expert Member
- Apr 20, 2013
- 11,555
- 35,880
Watanzania emb tuwe serious kidogo basi. Yani kiongozi anatoka na msafara wa magari mengi na watu wanalipwa posho kisha anaenda kuzindua kitu ambacho hakieleweki?
Makamu wa Rais kweli unatoka unaenda unaangalia picha ilivyochorwa, maandishi yameandikwa kwa kiswahili kibovu kabisa na mbaya zaidi hata jina lako wewe mzinduaji limekosewa kabisa bado unakata utepe!
Kweli siasa zinatupofusha akili na macho!
Makamu wa Rais kweli unatoka unaenda unaangalia picha ilivyochorwa, maandishi yameandikwa kwa kiswahili kibovu kabisa na mbaya zaidi hata jina lako wewe mzinduaji limekosewa kabisa bado unakata utepe!
Kweli siasa zinatupofusha akili na macho!