chizcom
JF-Expert Member
- Jul 31, 2016
- 7,581
- 15,709
Leo nimepata story mfano viwanja vya mpira vingi vilenjengwa na wananchi na Serikali ila mwisho wa siku vinasemwa mali ya CCM.
Miradi mingi ya wananchi mwisho wa siku kuwa mali ya CCM.
Nini tatizo na kwa lipi kutoka kuwa mali ya wananchi mpaka kuwa mali CCM
Miradi mingi ya wananchi mwisho wa siku kuwa mali ya CCM.
Nini tatizo na kwa lipi kutoka kuwa mali ya wananchi mpaka kuwa mali CCM