Secret person
JF-Expert Member
- Sep 23, 2019
- 242
- 358
Habari wakuu,
Juzi nilipima UTI na malaria na kipimo cha Malaria kilionyesha positive(Malaria 2) na UTI nilkuwa sina.
Nipo kwenye dose ya ALU, amoxiccilin Tabs, paracetamol tabs,
Changamoto ni kuwa nipo katika dose lakini bado kichwa kinauma balaa..nina hisi kutapika nina kohoa sana.
Naombeni ushauri wenu wakuu maana hali si hali.
Juzi nilipima UTI na malaria na kipimo cha Malaria kilionyesha positive(Malaria 2) na UTI nilkuwa sina.
Nipo kwenye dose ya ALU, amoxiccilin Tabs, paracetamol tabs,
Changamoto ni kuwa nipo katika dose lakini bado kichwa kinauma balaa..nina hisi kutapika nina kohoa sana.
Naombeni ushauri wenu wakuu maana hali si hali.