Boniphace Kichonge
JF-Expert Member
- Jul 31, 2017
- 1,606
- 1,956
Wadau
Makao Makuu ya Jumuiya Ya Afrika Mashariki yapo Tanzania tena Jijini Arusha.
Naamini Makao Makuu ya Jumuiya hiyo yalitakiwa yawe Kanda ya Ziwa hususani kati ya Mikoa Mwanza, Mara au Kagera.
Sababu kubwa ni za Kijiografia
1.Kiuchumi
2.Kimkakati
3.Kisera
4.Kihistoria
Karibuni kwa maoni
Makao Makuu ya Jumuiya Ya Afrika Mashariki yapo Tanzania tena Jijini Arusha.
Naamini Makao Makuu ya Jumuiya hiyo yalitakiwa yawe Kanda ya Ziwa hususani kati ya Mikoa Mwanza, Mara au Kagera.
Sababu kubwa ni za Kijiografia
1.Kiuchumi
2.Kimkakati
3.Kisera
4.Kihistoria
Karibuni kwa maoni