Mkaruka
JF-Expert Member
- Feb 5, 2013
- 19,617
- 34,062
Kwanza nitoe pole kwa yaliyotokea kwa siku ya jana. Hakuna binadamu yeyote timamu anaeweza kufurahia au kufanya walichokifanya hawa waoga.
Nirudi kwenye mada yangu.
Kwanini inakuwa hivi, makampuni makubwa ulimwenguni yanaipenda Kenya na makao yao makuu wanaweka Kenya na siyo nchi nyingine za Ukanda huu.
1. IBM
2. Google
3. Unilever
4. Facebook
5. BBC
6. Aljazeera
Nirudi kwenye mada yangu.
Kwanini inakuwa hivi, makampuni makubwa ulimwenguni yanaipenda Kenya na makao yao makuu wanaweka Kenya na siyo nchi nyingine za Ukanda huu.
1. IBM
2. Google
3. Unilever
4. Facebook
5. BBC
6. Aljazeera