Kwanini makadirio ya bajeti ya wizara ya ulinzi imewasilishwa na mh Jenister Mhagama badala ya Waziri husika Dkt. Mwinyi?

johnthebaptist

JF-Expert Member
May 27, 2014
83,591
141,394
Tumezoea kuona makadirio ya wizara yakiwasilishwa na mawaziri wa wizara husika lakini leo imekuwa tofauti makadirio ya wizara ya ulinzi yamewasilishwa na waziri wa nchi ofisi ya waziri mkuu mh Mhagama.

Naelewa kuwa mh Mhagama ndiye mnadhimu wa bunge lakini hili la uwasilishaji makadirio sijaelewa protokali imekaaje?

Maendeleo hayana vyama!
 
Tumezoea kuona makadirio ya wizara yakiwasilishwa na mawaziri wa wizara husika lakini leo imekuwa tofauti makadirio ya wizara ya ulinzi yamewasilishwa na waziri wa nchi ofisi ya waziri mkuu mh Mhagama.

Naelewa kuwa mh Mhagama ndiye mnadhimu wa bunge lakini hili la uwasilishaji makadirio sijaelewa protokali imekaaje?

Maendeleo hayana vyama!
Yohana mbona hii ni kawaida tu toka hata mimi nasikiliza bunge kwenye radio za mbao, tena radio ya jirani yetu. Kama Wizara haina naibu waziri yoyote anaweza kumjibia swali au kusoma hotuba yake. Ndio maana ya collective responsbility ya cabinet.
 
Tumezoea kuona makadirio ya wizara yakiwasilishwa na mawaziri wa wizara husika lakini leo imekuwa tofauti makadirio ya wizara ya ulinzi yamewasilishwa na waziri wa nchi ofisi ya waziri mkuu mh Mhagama.

Naelewa kuwa mh Mhagama ndiye mnadhimu wa bunge lakini hili la uwasilishaji makadirio sijaelewa protokali imekaaje?

Maendeleo hayana vyama!
Pamoja na nchi yetu kutokuwa na wagonjwa wapya wa gonjwa la Covid-19 muda mrefu sasa, ni busara kuchukua tahadhari kwa kujiweka kwenye karantini kwa hiari kama walivyofanya Wabunge wa CHADEMa au wengine wenye wasiwasi na afya zao. Karantini ya hiari ya siku 14 ruksa dunia nzima. When in doubt don't! Kinga ni bora kuliko tiba.
 
Acha tu hata asome Piere Liquid maana hakuna wanachojadili. Mbunge wa CCM akisimama dakika zake zinakuwa hivi
Dakika 5 kuwaponda sana Chadema
Dakika 3 kumsifia rais
Dakika 1 kuwaambia wanajeshi wajenge nyumba
Dakika 1 kuunga mkono bajeti
Ukisikiliza michango Wabunge wa ccm asilimia 99 waoga wasio jiamini,wasio na uthubutu kushauri kwa tija. Bado wanatamani pasiwe na mawazo mbadala, ni bora tuwaze kupunguza Bunge tubaki na wawakilishi 2 kila mkoa, tuokoe walau pesa kuliko Bunge la ccm watupu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tumezoea kuona makadirio ya wizara yakiwasilishwa na mawaziri wa wizara husika lakini leo imekuwa tofauti makadirio ya wizara ya ulinzi yamewasilishwa na waziri wa nchi ofisi ya waziri mkuu mh Mhagama.

Naelewa kuwa mh Mhagama ndiye mnadhimu wa bunge lakini hili la uwasilishaji makadirio sijaelewa protokali imekaaje?

Maendeleo hayana vyama!
Huenda waziri husika alikuwa kwenye maziko ya Shehe Kilemile huko kwetu Tandika Dar. Shehe ni jirani yetu na tumesali nae sana Tandika.
 
Tumezoea kuona makadirio ya wizara yakiwasilishwa na mawaziri wa wizara husika lakini leo imekuwa tofauti makadirio ya wizara ya ulinzi yamewasilishwa na waziri wa nchi ofisi ya waziri mkuu mh Mhagama.

Naelewa kuwa mh Mhagama ndiye mnadhimu wa bunge lakini hili la uwasilishaji makadirio sijaelewa protokali imekaaje?

Maendeleo hayana vyama!
Sio yule mbunge aliyewekwa karantini?
 
Kwanini uhoji waziri kivuli wa madini Heche hotuba yake alisoma Joseph Haule? Wakati Heche alikuwepo ndani ya bunge.
 
Back
Top Bottom