Waterloo
JF-Expert Member
- Nov 30, 2010
- 25,360
- 38,869
Hii hahahakusini kuna CCM,kasikazini kuna NEC,mashariki kuna polisi!!halafu bwege (CDM)yupo katikati ndio anatafuta mpira akiupata mala polisi ana mwambia ni foul umetumia double karachi!!rudisha mpira kwa ccm!!akiupata tena NEC,anakuja na kusema a tena ni foul umeiunua miguu hukuwa na nia nzuri'!!sasa bwege amejitoa mpira hauchezeki tena!!!