Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 269,630
- 697,597
Sikuhainisha kuwa umefanya kosa comrade.
Sikuhainisha kuwa umefanya kosa comrade.
Acha uongo wewe sio kila mfanyakazi huko jeshini ni mwanajeshi Sema hujui tu, tuulize sisi ambao tunakaaa jeshini tumesoma jeshini tumekulia jeshini na Ndugu zetu wengi ni wanajeshi, huyo aliekuambia hapo juu ni mzoefu usilazimishe usilolijua na usipende kutetea kihisia wapo manes raia, wapo wahasibu raia Na madaktari raia Na wengne raiaSasa tatzo ni kusema wafanyakazi wote ni wanajeshi au??? Wewe ndo mjinga maana mtu huwezi kuwa Doctor au mfanyakazi wa jeshi na sio mwanajeshi NEVER...NEVER... Vingine vyote ni kweli japo kuna wataalamu wa postmoterm hata Muhimbili lakini ukitaka Kufanya kazi jeshi lazima uwe Mwanajeshi..
Ila lazima ujue kuruka kichura churaa na push up.Acha uongo wewe sio kila mfanyakazi huko jeshini ni mwanajeshi Sema hujui tu, tuulize sisi ambao tunakaaa jeshini tumesoma jeshini tumekulia jeshini na Ndugu zetu wengi ni wanajeshi, huyo aliekuambia hapo juu ni mzoefu usilazimishe usilolijua na usipende kutetea kihisia wapo manes raia, wapo wahasibu raia Na madaktari raia Na wengne raia
Hivi ukiwa mwanajeshi unakuwa sio raia au??Acha uongo wewe sio kila mfanyakazi huko jeshini ni mwanajeshi Sema hujui tu, tuulize sisi ambao tunakaaa jeshini tumesoma jeshini tumekulia jeshini na Ndugu zetu wengi ni wanajeshi, huyo aliekuambia hapo juu ni mzoefu usilazimishe usilolijua na usipende kutetea kihisia wapo manes raia, wapo wahasibu raia Na madaktari raia Na wengne raia
mshana jr anayajuaga. Ka una umri mkubwa utayajua tuNdio nini asee umeniacha!
View attachment 1089642
Kwanini ni Lugalo ?
Marehemu RUGE baada ya kufariki huko Afrika Kusini maiti yake ilipowasili nchini baada ya kuagwa pale makao makuu ya Clouds360 ilienda kuhifadhiwa Lugalo?
Marehemu Godzillah baada ya kufariki mwili wake ulihifadhiwa Lugalo?
Marehemu Isaac Gwamba??
Na huyu marehemu Mengi leo hii wanasema mwili wake utawasili na kwenda kuhifadhiwa Lugalo?
Why LUGALO?
Kwani hawazioni hospitali zingine kama
Amana
Mwananyamala
Temeke
Muhimbili
Mloganzila
Why LUGALO???????
wewe ukifa unataka mwili wako uhifadhiwe wapi?
mwananyamala hakumna parking nzuri, kumekaa hovyo na pembeni ya mochwari kuna jalala linanuka sana.
kuna mateja huwa wanawaibia waombolezaji , wanajifanya wapo kwenye msafara then wanomba kupiga simu na kutoweka na simu za wafiwa.
haya huko muhumbili napo kumekaa kushoto maana matajiri wa dar wanakaa masaki, mssani, mbezi na kawe, lugalo ni senta nzuri kwa waio kuja na kuondoka.
lugalo ni ya jeshi na kuna ulinzi, huko mashenzini nkama mwananyamala hakuna hata mgambo wa jiji
View attachment 1089642
Kwanini ni Lugalo ?
Marehemu RUGE baada ya kufariki huko Afrika Kusini maiti yake ilipowasili nchini baada ya kuagwa pale makao makuu ya Clouds360 ilienda kuhifadhiwa Lugalo?
Marehemu Godzillah baada ya kufariki mwili wake ulihifadhiwa Lugalo?
Marehemu Isaac Gwamba??
Na huyu marehemu Mengi leo hii wanasema mwili wake utawasili na kwenda kuhifadhiwa Lugalo?
Why LUGALO?
Kwani hawazioni hospitali zingine kama
Amana
Mwananyamala
Temeke
Muhimbili
Mloganzila
Why LUGALO???????
Waswahili huiba viungo na kufanyia ushurikina.
AiseeWaswahili huiba viungo na kufanyia ushurikina.
Machinga wengi hutumia viungo vya binadamu kama dawa ya kuleta wateja, na masharti kedekede
Toa ukweli nduguNimesikitika sana watu wameambiwa uongo wa kutosha na bado wamemwaga likes kama hawana akili nzuri.
ᵃʳᵉᵉᵐ
Kwenye nchi yoyote ile duniani hospitali kuu za kijeshi ndio zinaaminika kuwa na huduma bora kabisa