Kwanini maiti nyingi za watu maarufu zinahifadhiwa Lugalo?

Kanungila Karim

JF-Expert Member
Apr 29, 2016
20,744
25,425
1089642
Kwanini ni Lugalo ?
Marehemu RUGE baada ya kufariki huko Afrika Kusini maiti yake ilipowasili nchini baada ya kuagwa pale makao makuu ya Clouds360 ilienda kuhifadhiwa Lugalo?
Marehemu Godzillah baada ya kufariki mwili wake ulihifadhiwa Lugalo?
Marehemu Isaac Gwamba??
Na huyu marehemu Mengi leo hii wanasema mwili wake utawasili na kwenda kuhifadhiwa Lugalo?
Why LUGALO?

Kwani hawazioni hospitali zingine kama
Amana
Mwananyamala
Temeke
Muhimbili
Mloganzila

Why LUGALO???????
 
View attachment 1089642
Kwanini ni Lugalo ?
Marehemu RUGE baada ya kufariki huko Afrika Kusini maiti yake ilipowasili nchini baada ya kuagwa pale makao makuu ya Clouds360 ilienda kuhifadhiwa Lugalo?
Marehemu Godzillah baada ya kufariki mwili wake ulihifadhiwa Lugalo?
Marehemu Isaac Gwamba??
Na huyu marehemu Mengi leo hii wanasema mwili wake utawasili na kwenda kuhifadhiwa Lugalo?
Why LUGALO?

Kwani hawazioni hospitali zingine kama
Amana
Mwananyamala
Temeke
Muhimbili
Mloganzila

Why LUGALO???????
Lugalo ndio sehemu ambapo maiti hupelekwa kwa ajili ya uchunguzi wa kina.............watu ambao wameuawa kwa "mipango" ya serikali hupelekwa na hata watu maarufu wanaosaidikiwa kuuwa,ndugu wanaweza kuomba wapelekwe Lugalo ama serikali ikashawishi wapelekwe kule.
Kwa nini Lugalo?
Kule wafanyakazi wote wa afya sio raia ni wanajeshi.....sasa ile hali ya kutunza privacy....."kufunika mambo"kama kifo kilipangwa na wenyewe serikali e.g Amina Chifupa death,hufanikishwa.....au hata Kama ameuawa ki kawaida ila ni mtu maarufu,usiri unakuwepo kwa kiwango kikubwa.......kumbuka matabibu wengi wanaohusika na huduma hizo ni cardet officers na wengi kuanzia ngazi ya "captain" ,kulingana na mafunzo na viapo vyao ni ngumu kutoa Siri/kuzungumza chochote kuhusiana na uchunguzi............kumbuka hata waandishi wa habari hawana haki ya kudemand habari za jeshi labda waitwe .......tofauti na hospitali za umma.
 
Lugalo ndio sehemu ambapo maiti hupelekwa kwa ajili ya uchunguzi wa kina.............watu ambao wameuawa kwa "mipango" ya serikali hupelekwa na hata watu maarufu wanaosaidikiwa kuuwa,ndugu wanaweza kuomba wapelekwe Lugalo ama serikali ikashawishi wapelekwe kule.
Kwa nini Lugalo?
Kule wafanyakazi wote wa afya sio raia ni wanajeshi.....sasa ile hali ya kutunza privacy....."kufunika mambo"kama kifo kilipangwa na wenyewe serikali e.g Amina Chifupa death,hufanikishwa.....au hata Kama ameuawa ki kawaida ila ni mtu maarufu,usiri unakuwepo kwa kiwango kikubwa.......kumbuka matabibu wengi wanaohusika na huduma hizo ni cardet officers na wengi kuanzia ngazi ya "captain" ,kulingana na mafunzo na viapo vyao ni ngumu kutoa Siri/kuzungumza chochote kuhusiana na uchunguzi............kumbuka hata waandishi wa habari hawana haki ya kudemand habari za jeshi labda waitwe .......tofauti na hospitali za umma.
Shukrani nimejifunza kitu hapa mkuu.
 
Ni maamuzi yenu tu ila lugalo ni sehemu ya kawaida tu hata garama zake
Ila wanasifika kwa kuwa na majokofu mazuri ya kuhifadhia maiti na wanajua namna ya kuhuhifadhi mwili
Mwananyamala pale longo×2 nyingi

Ova
 
Kule ni heshima zaidi na usaf na uhakika wa uhifadhi hamna longolongo
View attachment 1089642
Kwanini ni Lugalo ?
Marehemu RUGE baada ya kufariki huko Afrika Kusini maiti yake ilipowasili nchini baada ya kuagwa pale makao makuu ya Clouds360 ilienda kuhifadhiwa Lugalo?
Marehemu Godzillah baada ya kufariki mwili wake ulihifadhiwa Lugalo?
Marehemu Isaac Gwamba??
Na huyu marehemu Mengi leo hii wanasema mwili wake utawasili na kwenda kuhifadhiwa Lugalo?
Why LUGALO?

Kwani hawazioni hospitali zingine kama
Amana
Mwananyamala
Temeke
Muhimbili
Mloganzila

Why LUGALO???????
 
View attachment 1089642
Kwanini ni Lugalo ?
Marehemu RUGE baada ya kufariki huko Afrika Kusini maiti yake ilipowasili nchini baada ya kuagwa pale makao makuu ya Clouds360 ilienda kuhifadhiwa Lugalo?
Marehemu Godzillah baada ya kufariki mwili wake ulihifadhiwa Lugalo?
Marehemu Isaac Gwamba??
Na huyu marehemu Mengi leo hii wanasema mwili wake utawasili na kwenda kuhifadhiwa Lugalo?
Why LUGALO?

Kwani hawazioni hospitali zingine kama
Amana
Mwananyamala
Temeke
Muhimbili
Mloganzila

Why LUGALO???????
Uliwezaje kupiga pik
 
Lugalo ndio sehemu ambapo maiti hupelekwa kwa ajili ya uchunguzi wa kina.............watu ambao wameuawa kwa "mipango" ya serikali hupelekwa na hata watu maarufu wanaosaidikiwa kuuwa,ndugu wanaweza kuomba wapelekwe Lugalo ama serikali ikashawishi wapelekwe kule.
Kwa nini Lugalo?
Kule wafanyakazi wote wa afya sio raia ni wanajeshi.....sasa ile hali ya kutunza privacy....."kufunika mambo"kama kifo kilipangwa na wenyewe serikali e.g Amina Chifupa death,hufanikishwa.....au hata Kama ameuawa ki kawaida ila ni mtu maarufu,usiri unakuwepo kwa kiwango kikubwa.......kumbuka matabibu wengi wanaohusika na huduma hizo ni cardet officers na wengi kuanzia ngazi ya "captain" ,kulingana na mafunzo na viapo vyao ni ngumu kutoa Siri/kuzungumza chochote kuhusiana na uchunguzi............kumbuka hata waandishi wa habari hawana haki ya kudemand habari za jeshi labda waitwe .......tofauti na hospitali za umma.
Usilolijua uliza kwanza uambiwe. Usiaminishe watu ujinga. Ulichoongea ni uongo mtupu. Lugalo hospital ni ya jeshi lakini wafanyakazi hata raia wapo tena Specialties. Nenda idara ya macho, nenda ECG, nenda X-ray zipo nyingi tu. Kwa maono yangu na ilivyo ni hivi:
Sehemu yeyote duniani ukianzia USA, UK , Russia nk. Hospitali za jeshi ndizo zinakuwa the last resort... For everything na kikubwa ni usalama (security) hata leo Rais akafariki atapelekwa Lugalo. Lugalo ilitakiwa kuwa na hadhi zaidi ya muhimbili ama kuwa sawa Lakini inakuwa zaidi kwa issue ya Security.
 
View attachment 1089642
Kwanini ni Lugalo ?
Marehemu RUGE baada ya kufariki huko Afrika Kusini maiti yake ilipowasili nchini baada ya kuagwa pale makao makuu ya Clouds360 ilienda kuhifadhiwa Lugalo?
Marehemu Godzillah baada ya kufariki mwili wake ulihifadhiwa Lugalo?
Marehemu Isaac Gwamba??
Na huyu marehemu Mengi leo hii wanasema mwili wake utawasili na kwenda kuhifadhiwa Lugalo?
Why LUGALO?

Kwani hawazioni hospitali zingine kama
Amana
Mwananyamala
Temeke
Muhimbili
Mloganzila

Why LUGALO???????
Sasa ebu jiulize, pale Airport tu mwili kubebwa na Folk lift picha zimesambaa mtandaoni, je wakipata picha ya marehemu labda awe na jambo lisilo la kawaida, wataweza kumsitiri!?

Lugalo ni jeshini, wana maadili na wanalinda "privacy" za watu
 
5 Reactions
Reply
Back
Top Bottom