Kwanini maiti nyingi za watu maarufu zinahifadhiwa Lugalo?

Usilolijua uliza kwanza uambiwe. Usiaminishe watu ujinga. Ulichoongea ni uongo mtupu. Lugalo hospital ni ya jeshi lakini wafanyakazi hata raia wapo tena Specialties. Nenda idara ya macho, nenda ECG, nenda X-ray zipo nyingi tu. Kwa maono yangu na ilivyo ni hivi:
Sehemu yeyote duniani ukianzia USA, UK , Russia nk. Hospitali za jeshi ndizo zinakuwa the last resort... For everything na kikubwa ni usalama (security) hata leo Rais akafariki atapelekwa Lugalo. Lugalo ilitakiwa kuwa na hadhi zaidi ya muhimbili ama kuwa sawa Lakini inakuwa zaidi kwa issue ya Security.
Sasa tatzo ni kusema wafanyakazi wote ni wanajeshi au??? Wewe ndo mjinga maana mtu huwezi kuwa Doctor au mfanyakazi wa jeshi na sio mwanajeshi NEVER...NEVER... Vingine vyote ni kweli japo kuna wataalamu wa postmoterm hata Muhimbili lakini ukitaka Kufanya kazi jeshi lazima uwe Mwanajeshi..
 
wanaamin mait ikiwa pale jeshini wataalam wa kugeuka paka hawateenda kuchukua viungo vya kazi... natania tuu

Pia ningeshauri hawa matajili/ndugu zao wawe wanatenga bajeti zao za msiba mapema ili kuwezesha watu wawe wawe wanaenda kuaagia maiti huko wanapofia hivyo huku wakija wapelekwe direct kabulini wakafukiwe, haiwezekan hata wakiumwa mafua wanaenda nje kutibiwa kwakuwa hospitali zetu wanaona hazina hadhi afu wakifa ndio wanataka wapelekwe hospitali za ndani wahifaziwe wakingoja kuzikwa!nani kasema hospitali za ndani zime specialized katika kuhifanyi maiti zao tuu na sio kuwatibu? Hospital uliyoshindwa kuiamini kutibiwa/kumtibu nduguyo hata mafua unaiamini vipi kuipa mwili wakuhifadhie?

NB:Haina uhusiano na mzee Mengi(RIP)
 
Ungekua mtihan ungekosa vbaya bro,...yaan unaambiwa jib swal kwa sentens moja af wew una piga gazeti af unakosa.hahah,jokin

Jib ni 1 tuu kwamba,..ni space.
Nafafaanua:.kwa watu maaruf sabab kama ulivoona jins watu wanavyolundikana kuufata ule mwil,sasa muhimbil penyew bila matukio pamejaa na parking shida,sasa imagine lundo,lile la watu wajae pale si shugul zitasimama za hospitali,so wanapeleka lugalo wanajua pale ni jeshin utulivu utakua mkubwa,no chaos...watu hawatajaa etc na usumbuf hutakua mkubwa,
Hvyo yaan
 
Fix
Lugalo ndio sehemu ambapo maiti hupelekwa kwa ajili ya uchunguzi wa kina.............watu ambao wameuawa kwa "mipango" ya serikali hupelekwa na hata watu maarufu wanaosaidikiwa kuuwa,ndugu wanaweza kuomba wapelekwe Lugalo ama serikali ikashawishi wapelekwe kule.
Kwa nini Lugalo?
Kule wafanyakazi wote wa afya sio raia ni wanajeshi.....sasa ile hali ya kutunza privacy....."kufunika mambo"kama kifo kilipangwa na wenyewe serikali e.g Amina Chifupa death,hufanikishwa.....au hata Kama ameuawa ki kawaida ila ni mtu maarufu,usiri unakuwepo kwa kiwango kikubwa.......kumbuka matabibu wengi wanaohusika na huduma hizo ni cardet officers na wengi kuanzia ngazi ya "captain" ,kulingana na mafunzo na viapo vyao ni ngumu kutoa Siri/kuzungumza chochote kuhusiana na uchunguzi............kumbuka hata waandishi wa habari hawana haki ya kudemand habari za jeshi labda waitwe .......tofauti na hospitali za umma.
 
Fix
Lugalo ndio sehemu ambapo maiti hupelekwa kwa ajili ya uchunguzi wa kina.............watu ambao wameuawa kwa "mipango" ya serikali hupelekwa na hata watu maarufu wanaosaidikiwa kuuwa,ndugu wanaweza kuomba wapelekwe Lugalo ama serikali ikashawishi wapelekwe kule.
Kwa nini Lugalo?
Kule wafanyakazi wote wa afya sio raia ni wanajeshi.....sasa ile hali ya kutunza privacy....."kufunika mambo"kama kifo kilipangwa na wenyewe serikali e.g Amina Chifupa death,hufanikishwa.....au hata Kama ameuawa ki kawaida ila ni mtu maarufu,usiri unakuwepo kwa kiwango kikubwa.......kumbuka matabibu wengi wanaohusika na huduma hizo ni cardet officers na wengi kuanzia ngazi ya "captain" ,kulingana na mafunzo na viapo vyao ni ngumu kutoa Siri/kuzungumza chochote kuhusiana na uchunguzi............kumbuka hata waandishi wa habari hawana haki ya kudemand habari za jeshi labda waitwe .......tofauti na hospitali za umma.
 
Usilolijua uliza kwanza uambiwe. Usiaminishe watu ujinga. Ulichoongea ni uongo mtupu. Lugalo hospital ni ya jeshi lakini wafanyakazi hata raia wapo tena Specialties. Nenda idara ya macho, nenda ECG, nenda X-ray zipo nyingi tu. Kwa maono yangu na ilivyo ni hivi:
Sehemu yeyote duniani ukianzia USA, UK , Russia nk. Hospitali za jeshi ndizo zinakuwa the last resort... For everything na kikubwa ni usalama (security) hata leo Rais akafariki atapelekwa Lugalo. Lugalo ilitakiwa kuwa na hadhi zaidi ya muhimbili ama kuwa sawa Lakini inakuwa zaidi kwa issue ya Security.
na kweli wapo wengi tu raia pale.
 
Ni maamuzi yenu tu ila lugalo ni sehemu ya kawaida tu hata garama zake
Ila wanasifika kwa kuwa na majokofu mazuri ya kuhifadhia maiti na wanajua namna ya kuhuhifadhi mwili
Mwananyamala pale longo×2 nyingi

Ova
Kwahiyo maiti ya Mengi imetolewa kwenye jenezana kuwekwa kwenye jokofu tena
 
Sasa tatzo ni kusema wafanyakazi wote ni wanajeshi au??? Wewe ndo mjinga maana mtu huwezi kuwa Doctor au mfanyakazi wa jeshi na sio mwanajeshi NEVER...NEVER... Vingine vyote ni kweli japo kuna wataalamu wa postmoterm hata Muhimbili lakini ukitaka Kufanya kazi jeshi lazima uwe Mwanajeshi..
sio kweli raia wapo wengi tu.
 
Sibishani kwa Matusi, kebehi wala kiburi. Usipotaka kuelewa baki hivo hivo
Sasa tatzo ni kusema wafanyakazi wote ni wanajeshi au??? Wewe ndo mjinga maana mtu huwezi kuwa Doctor au mfanyakazi wa jeshi na sio mwanajeshi NEVER...NEVER... Vingine vyote ni kweli japo kuna wataalamu wa postmoterm hata Muhimbili lakini ukitaka Kufanya kazi jeshi lazima uwe Mwanajeshi..
 
Lugalo ndio sehemu ambapo maiti hupelekwa kwa ajili ya uchunguzi wa kina.............watu ambao wameuawa kwa "mipango" ya serikali hupelekwa na hata watu maarufu wanaosaidikiwa kuuwa,ndugu wanaweza kuomba wapelekwe Lugalo ama serikali ikashawishi wapelekwe kule.
Kwa nini Lugalo?
Kule wafanyakazi wote wa afya sio raia ni wanajeshi.....sasa ile hali ya kutunza privacy....."kufunika mambo"kama kifo kilipangwa na wenyewe serikali e.g Amina Chifupa death,hufanikishwa.....au hata Kama ameuawa ki kawaida ila ni mtu maarufu,usiri unakuwepo kwa kiwango kikubwa.......kumbuka matabibu wengi wanaohusika na huduma hizo ni cardet officers na wengi kuanzia ngazi ya "captain" ,kulingana na mafunzo na viapo vyao ni ngumu kutoa Siri/kuzungumza chochote kuhusiana na uchunguzi............kumbuka hata waandishi wa habari hawana haki ya kudemand habari za jeshi labda waitwe .......tofauti na hospitali za umma.
Asikiaye na afahamu.
 
View attachment 1089642
Kwanini ni Lugalo ?
Marehemu RUGE baada ya kufariki huko Afrika Kusini maiti yake ilipowasili nchini baada ya kuagwa pale makao makuu ya Clouds360 ilienda kuhifadhiwa Lugalo?
Marehemu Godzillah baada ya kufariki mwili wake ulihifadhiwa Lugalo?
Marehemu Isaac Gwamba??
Na huyu marehemu Mengi leo hii wanasema mwili wake utawasili na kwenda kuhifadhiwa Lugalo?
Why LUGALO?

Kwani hawazioni hospitali zingine kama
Amana
Mwananyamala
Temeke
Muhimbili
Mloganzila

Why LUGALO???????
wewe ukifa unataka mwili wako uhifadhiwe wapi?


mwananyamala hakumna parking nzuri, kumekaa hovyo na pembeni ya mochwari kuna jalala linanuka sana.
kuna mateja huwa wanawaibia waombolezaji , wanajifanya wapo kwenye msafara then wanomba kupiga simu na kutoweka na simu za wafiwa.

haya huko muhumbili napo kumekaa kushoto maana matajiri wa dar wanakaa masaki, mssani, mbezi na kawe, lugalo ni senta nzuri kwa waio kuja na kuondoka.
lugalo ni ya jeshi na kuna ulinzi, huko mashenzini nkama mwananyamala hakuna hata mgambo wa jiji
 
Back
Top Bottom