Tabutupu
JF-Expert Member
- Nov 26, 2010
- 13,108
- 18,325
Siamini kwanza kama Magufuli amekubali japo najiuliza kwa nini TFF hawachukuliwi hatua na vyombo husika kama takukuru, usalama etc.
TFF ni genge la wapiga dili, hakuna jambo linafanyika bila pesa.
Kocha mzuri ni yule atakaye waachia ulaji. Kwa TFF kama hii Mzee Magufuli hata utoe tr 10 Taifa stars haitafika popote.
TFF ni genge la wapiga dili, hakuna jambo linafanyika bila pesa.
Kocha mzuri ni yule atakaye waachia ulaji. Kwa TFF kama hii Mzee Magufuli hata utoe tr 10 Taifa stars haitafika popote.