Kwanini Magufuli amemstaafisha Mutalemwa na sio wakina Mrema na wengine?

Bata batani

JF-Expert Member
Nov 11, 2011
3,179
3,539
"Wakati namsikiliza rais wangu " nilimsikia akitamka ya kwangu Mutalemwa kuachia ngazi na sasa anataka vijana ili aweze kukimbizanao hivyo akamuomba apumnzike ""

Lakini pia rais wangu nakuomba pia ungewapumzisha pembeni wazee kama akina mwakiembe, Mrema, Kabudi, Mahiga na wengine wengi wanatakiwa kuachia ngazi hizoo nafasi wapewe vijana?

Hivyo kama ananisikia huu ni muda wa waziri Mwakiembe na Mrema wajiuzulu kupisha hizo nafasi waingie vijana?

Tunashukuru sana kwa michango yao katika kujenga taifa hivi sasa ni muda wao wa kuachia ngazi?
 
sijuiii labda
Na wao wapumzike tuu
"wakati namsikiliza raisi wangu " nilimsikia akitamka ya kwanga mutalemwa kuachia ngazi na sasa anataka vijana ili aweze kukimbizanao hivyo akamuomba apumzikeee ""

Lakini pia raisi wangu nakuomba pia ungewapumzisha pembeni wazee kama akina mwakiembe, mrema, kabudi, mahiga na wengine wengi wanatakiwa kuachia ngazi
Hizoo nafasi wapewe vijana?

Hivyo kama ananisikia huu ni muda wa waziri mwakiembe na mrema wajiuzulu kupisha hizo nafasi waingie vijana ?

Tunashukuru sana kwa michango yao katika kujenga taifa hivi sasa ni muda wao wa kuachia ngazi?
 
"wakati namsikiliza raisi wangu " nilimsikia akitamka ya kwanga mutalemwa kuachia ngazi na sasa anataka vijana ili aweze kukimbizanao hivyo akamuomba apumzikeee ""

Lakini pia raisi wangu nakuomba pia ungewapumzisha pembeni wazee kama akina mwakiembe, mrema, kabudi, mahiga na wengine wengi wanatakiwa kuachia ngazi
Hizoo nafasi wapewe vijana?

Hivyo kama ananisikia huu ni muda wa waziri mwakiembe na mrema wajiuzulu kupisha hizo nafasi waingie vijana ?

Tunashukuru sana kwa michango yao katika kujenga taifa hivi sasa ni muda wao wa kuachia ngazi?

Anatafuta watu kama akina Makori Kisare,wa kuonea na kunyanyasa watu wasio na hatia.
 
"wakati namsikiliza raisi wangu " nilimsikia akitamka ya kwanga mutalemwa kuachia ngazi na sasa anataka vijana ili aweze kukimbizanao hivyo akamuomba apumzikeee ""

Lakini pia raisi wangu nakuomba pia ungewapumzisha pembeni wazee kama akina mwakiembe, mrema, kabudi, mahiga na wengine wengi wanatakiwa kuachia ngazi
Hizoo nafasi wapewe vijana?

Hivyo kama ananisikia huu ni muda wa waziri mwakiembe na mrema wajiuzulu kupisha hizo nafasi waingie vijana ?

Tunashukuru sana kwa michango yao katika kujenga taifa hivi sasa ni muda wao wa kuachia ngazi?
Inaonyesha hamtaki kabisa Mutalemwa yaani Rais anadai amekua akimsikia Mutalemwa tokea akiwa Sekondari, inamaana Mutalemwa alikua ofisini kama CEO kipindi Magufuli yupo Sekondari? au alikua anatania kama ilivyo kawaida yake?
 
Hivi tuseme ukweli vijana ambao tunataka waachiwe nchi kwenye nafasi kama za akina Mahiga na Kabudi wako wapi?

Hebu ntajie angalau vijana watano wenye uwezo wa kuvaa viatu vya Balozi Mahiga na Prof Kabudi!
 
Huyu ni Kiongozi mbaguzi sijapata kuona..

Akishakuchukia lazima ataku harass kwa kila namna mpaka uondoke kwenye nafasi yako..

Simjui Mutalemwa wala sijui utendaji wake.. So am not here defending him katika hali yoyote ile..

Nipo kuizungumzia awamu hii kwa ujumla wake.. kwamba huyu bwana akikupenda utapeta tu hata ufanye madudu gani kama wanavyofanya RC wa Dsm na Arusha.

Ndio maana watu wanajiuliza hii hali itaenda hivi mpaka lini..

Double standard.
 
Hao uliowataja ni viongozi wa kisiasa, hawana muda maalumu Wa kustaaafu kwa mujibu Wa sheria za Utumishi Wa umma,
Hata hivyo magu amenishangaza sana kwa povu lile kwa huyo mutalemwa, itakuwa anakinyongo naye tu kwani nasikia magu kwa visasi.
Sheria na taratibu za Utumishi Wa umma zipo azifuate sio kutishia watu.
Aidha kwa povu lile ni vyema huyo jamaa ajiudhuli tu mwenyewe kwani kwa sheria na taratibu za Utumishi Wa umma magu anaweza kumstaafisha mtumishi kwa manufaa ya umma na mtumishi huyo halipwi pensheni .
Jamaa inaonekana ana chuki za wazi dhidi ya mtalemwa, pole sana mzee Mtalemwa.
Suala la kurudisha nyuma umri watunishi Wa umma nalo ni tatizo ambalo linatakiwa lifanyiwe kazi kitaalamu na sio kwa kukurupuka hivyo kama magu alivyomuongelea huyo jamaa,
 
Hivi tuseme ukweli vijana ambao tunataka waachiwe nchi kwenye nafasi kama za akina Mahiga na Kabudi wako wapi?

Hebu ntajie angalau vijana watano wenye uwezo wa kuvaa viatu vya Balozi Mahiga na Prof Kabudi!
Mkuu kwani hao kina kabudi wamesaidia nni hili taifa mwaka wa hamsini huu tupo maskini??? Kuna watu wengi tu wenye uwezo ila sio wanasiasa mkifanya sourcing mtawapata ila kutuaminisha kuwa mahiga hana replacement unakuwa hututendei haki kwani kabla ya mahiga wizara yake ilikuwa empty?? Na toka ameingia kuna mabadiliko gani ya kututisha sana mpka tuone he is irrepleceable
 
Mkuu kwani hao kina kabudi wamesaidia nni hili taifa mwaka wa hamsini huu tupo maskini??? Kuna watu wengi tu wenye uwezo ila sio wanasiasa mkifanya sourcing mtawapata ila kutuaminisha kuwa mahiga hana replacement unakuwa hututendei haki kwani kabla ya mahiga wizara yake ilikuwa empty?? Na toka ameingia kuna mabadiliko gani ya kututisha sana mpka tuone he is irrepleceable


Mkuu Vijana wapo lakini hawawezi kuvaa viatu vya Balozi Mahiga.
Uzoefu kama wa Balozi Mahiga au Prof Kabudi haupatikani darasani.
Inabidi wakae kazini wajifunze, wapimwe ndiyo wapewe hizo nafasi endapo watakuwa na uzoefu wa kutosha.

Lakini kwa sasa hasa kwenye Foreign Affairs,
Unafikiri unaweza kumlinganisha mtu kama January Makamba na Dr Mahiga?
Habu tuwe wakweli basi.
 
Kwani hao akina MAHIGA NA KABUDI wamesaidia nini? A

Mbona nchi bado ni masikini

Mkuu unafikiri Umaskini katika nchi unamalizwa na watu wawili?
Unaliza Balozi Mahiga na Prof. Kabudi wameifanyia nini nchi: Kwanini usitafute CV zao ujionee mwenyewe?
 
4 Reactions
Reply
Back
Top Bottom