Hismastersvoice
JF-Expert Member
- Jan 26, 2013
- 18,657
- 22,254
Mrema bado mdomo wake unachanganya labda tu kama ingekuwa kazi ya kubeba zege.
Mimi hapa ni mmoja wa vijanaHivi tuseme ukweli vijana ambao tunataka waachiwe nchi kwenye nafasi kama za akina Mahiga na Kabudi wako wapi?
Hebu ntajie angalau vijana watano wenye uwezo wa kuvaa viatu vya Balozi Mahiga na Prof Kabudi!
Nyie Ndiyo hamtaki kukuaNi lini lowasa amekuwa mtaalam wa mambo ya mahusiano ya kimataifa??? Unajua sio kila kitu tuingize siasa za uchadema na uccm its BS !! Grow up
BashiteHivi tuseme ukweli vijana ambao tunataka waachiwe nchi kwenye nafasi kama za akina Mahiga na Kabudi wako wapi?
Hebu ntajie angalau vijana watano wenye uwezo wa kuvaa viatu vya Balozi Mahiga na Prof Kabudi!