Kwanini magazeti haya yananunuriwa na kupendwa?

mshikachuma

JF-Expert Member
Dec 2, 2010
2,853
626
Najua na kufahamu kuwa Tanzania kuna newspapers nyingi sana kutoka
kampuni tafauti,na yote yanauzika na kusomwa kila kona ya Tanzania yetu na hata nje.
Lakini utafiti niliyoufanya pindi ninapokwenda kununua magazeti kwenye vibanda au kwa
hawa news vendor barabarani nikagundua magazeti ya RAIA MWEMA,MWANANCHI,
MWANAHALISI na TANZANIA DAIMA.kidogo na NIPASHE na THE GURDIAN yananunuliwa kwa
kasi sana! Na ukikuta kati ya watanzania makini 3 wanasoma magazeti,basi wawili utakuta
wanasoma magazeti hayo niliyoyaorodhesha hapo juu. Na hata maofisini hali ni hiyohiyo
kwenye vyombo vya usafiri hali ni hiyohiyo. Ukitaka kuamini ikifika saa tano asubuhi nenda
barabarani katafute magazeti hayo kama utayapata! uyapati ng'o unless uzunguke sana.Lakini
hayo mengine utayakuta yanapigwa na vumbi tu.

Sababu hasa ni nini? nisaidieni wanaJF. -Nawasilisha
 
Najua na kufahamu kuwa Tanzania kuna newspapers nyingi sana kutoka
kampuni tafauti,na yote yanauzika na kusomwa kila kona ya Tanzania yetu na hata nje.
Lakini utafiti niliyoufanya pindi ninapokwenda kununua magazeti kwenye vibanda au kwa
hawa news vendor barabarani nikagundua magazeti ya RAIA MWEMA,MWANANCHI,
MWANAHALISI na TANZANIA DAIMA.kidogo na NIPASHE na THE GURDIAN yananunuliwa kwa
kasi sana
! Na ukikuta kati ya watanzania makini 3 wanasoma magazeti,basi wawili utakuta
wanasoma magazeti hayo niliyoyaorodhesha hapo juu. Na hata maofisini hali ni hiyohiyo
kwenye vyombo vya usafiri hali ni hiyohiyo. Ukitaka kuamini ikifika saa tano asubuhi nenda
barabarani katafute magazeti hayo kama utayapata! uyapati ng'o unless uzunguke sana.Lakini
hayo mengine utayakuta yanapigwa na vumbi tu.

Sababu hasa ni nini? nisaidieni wanaJF. -Nawasilisha

Acha Uongo wewe
Ebu jibu hili Swali ili tuendelee kuchangia
1.Wanatoa kopi ngapi wanauza ngapi.

Hujui kuwa inawezekana gazeti kama Uhuru linatoa kopi 100,000 zinauzwa na kusambazwa kwa wana CCM matawini kopi 60,000 huku Mwananchi(mfano) wanatoa kopi 30,000 zinauzwa 15,000 hapo utasema gazeti lipi linauza sana.

Huwezi kutoa jibu la moja kwa moja eti ni utafiti kwa vendor mmoja ,

Au Sema kuwa wewe kuna magazeti unayapenda sana,ni wewe siyo mimi na yule,husiusemee moyo wa mtu mwingine vinginevyo fanya utafiti
 
Mathias Byabato magazeti ya udaku unayaweka wapi, unajua yanachapa nakala ngapi? TULIVYO NI MATOKEO YA TULACHO.
 
Mathias Byabato magazeti ya udaku unayaweka wapi, unajua yanachapa nakala ngapi? TULIVYO NI MATOKEO YA TULACHO.

Byabato acha uongo na jaribu kuwa makini umeambiwa ukiwawakuta watu watano wanasoma magazeti watatu watakuwa wanasoma hayo magazeti aliyoyasema sasa upotoshaji huu wa ccm umeutoa wapi acha njaa zako za kuwekwa kwenye pay roll ya r a na el .jibu ni kuwa magazeti uliyoyasema isipokuwa nipashe ni makini wahariri wake si walamba viatu vya serikali maana tatizo la watanzania na serikali yetu ukitaka usiguswe isifie serikali hata kama ni jmbazi huguswi
 
ukweli ni kwamba magazeti yaliyo tajwa yanasomwa sana nawatanzania kuliko magazeti mangine ya hapa tz.hauzi ukalinganisha mwana halisi na uhuru ktk kununuliwa! au raia mwema na mtanzania ya rostm! vile vile daima na nipshe.hata mfn wa uhuru kupeleka nakala kwa wanachama si sahihi kulinganisha, kwani hao wanachama ni wachovu kifedha nahata kulipia kadi tu issue! ukweli ni kwamba watanzania wanasoma magazeti yanayo zungumzia national issues na si magazeti yanayoandika dr slaa kapora mke wa mtu.au jk anasura nzuri east africa,jk awa wa kwanza kukutana na obama! what for! kweli wewe unajadili issues au umetumwa na mafisadi?
 
Acha Uongo wewe
Ebu jibu hili Swali ili tuendelee kuchangia
1.Wanatoa kopi ngapi wanauza ngapi.

Hujui kuwa inawezekana gazeti kama Uhuru linatoa kopi 100,000 zinauzwa na kusambazwa kwa wana CCM matawini kopi 60,000 huku Mwananchi(mfano) wanatoa kopi 30,000 zinauzwa 15,000 hapo utasema gazeti lipi linauza sana.

Huwezi kutoa jibu la moja kwa moja eti ni utafiti kwa vendor mmoja ,

Au Sema kuwa wewe kuna magazeti unayapenda sana,ni wewe siyo mimi na yule,husiusemee moyo wa mtu mwingine vinginevyo fanya utafiti
Inategemea hizo copy 100,000 za UHURU zinasomwa na watu wa aina gani au wa brains gani. Kama ni mabongolala wenye akili za mgando sio ishu.
 
kweli aja umenena wanachama wa CCM ni wachovu hawana hata uwezo wa kulipia kadi so magazeti wataweza kulipia.
 
Ni ukweli usiopingika mwanahalisi,mwananchi,tanzania daima na raia mwema yanauza zaidi
kuliko hayo mengine...kama ukibisha hata hili ninapata shaka na akili yako!
 
Najua na kufahamu kuwa Tanzania kuna newspapers nyingi sana kutoka
kampuni tafauti,na yote yanauzika na kusomwa kila kona ya Tanzania yetu na hata nje.
Lakini utafiti niliyoufanya pindi ninapokwenda kununua magazeti kwenye vibanda au kwa
hawa news vendor barabarani nikagundua magazeti ya RAIA MWEMA,MWANANCHI,
MWANAHALISI na TANZANIA DAIMA.kidogo na NIPASHE na THE GURDIAN yananunuliwa kwa
kasi sana! Na ukikuta kati ya watanzania makini 3 wanasoma magazeti,basi wawili utakuta
wanasoma magazeti hayo niliyoyaorodhesha hapo juu. Na hata maofisini hali ni hiyohiyo
kwenye vyombo vya usafiri hali ni hiyohiyo. Ukitaka kuamini ikifika saa tano asubuhi nenda
barabarani katafute magazeti hayo kama utayapata! uyapati ng'o unless uzunguke sana.Lakini
hayo mengine utayakuta yanapigwa na vumbi tu.

Sababu hasa ni nini? nisaidieni wanaJF. -Nawasilisha

The answer is simple.Magazeti haya yanaandika ukweli sio udaku na yanaandika vitu ambavyo mtu serious angependa kujua,sometimes even investigative journalism.Magazeti kama M/Halisi na R/Mwema,they are good.T/Daima wakati mwingine wanachakachua habari.
 
The answer is simple.They feed the brain substance, sio uongo na udaku.They go further.sometimes unapata hata investigative journalism,oh, I Iove it.
 
wote wenye fikra pevu....wote wenye kutaka habari njema kwa faida ya nchi yao...wote walio huru kifikra....wote wanaochukia ufisadi....wote wanaotaka kujua ufyongo wa utendaji wa serikali yao....wote wanaotaka kuhabarishwa habari zilizochambuliwa kwa kina......wote wanaochukia udaku....wote walioenda shule wakaelimika=HUSOMA RAIA MWEMA, MWANAHALISI, MWANANCHI, TANZANIA DAIMA, THIS DAY, CITIZEN

na wote walio kinyume na aina hizo za watu=HUSOMA UHURU, MTANZANIA, MZALENDO, MAGAZETI YA SHIGONGO
 
Huyu byabato kweli amechakachuliwa,ila nashangaa wenye majina aina huwa ni wajanja cjui huyu imekuwaje?byabato vp unaumwa?msaidie jaman
 
Mathias nakujua wewe kama muandishi wa habari wa siku nyingi, hivi hili nalo unataka kulifanyia ubishi? Mbona si uongo?
Hata kama kweli usambazaji ni mdogo basi bado ni ishara tosha kuwa yananunulika kwa wingi.
Nakushauri ufanye wewe utafiti wako mwenyewe mdogo. Tembelea vibanda vya magazeti asubuhi na hakikisha wanapokuwa wanafungua magazeti alafu endelea kufuatilia jioni ujue yanayorudi. Then, analia magazeti ambayo wamechana heading zake ili kuziwakilisha kama yasiyouzika utaona ukweli wa post hii.
Wacha kubisha bila kufanya utafiti na wakati we ni msomi mzuri wa habari.
 
yanaminika kuliko magazeti mengine yanayo base one one side....................kama yale yanayohusishwa kumilikiwa na makada wa chama tawala ccm/hayaminiki kabisa mtu akikuta unayasoma anajua unasoma udaku tuu,huwezi kupata habari za uhakika na ukweli zaidi ya kuifagilia serikali na wana cc
 
Acha Uongo wewe
Ebu jibu hili Swali ili tuendelee kuchangia
1.Wanatoa kopi ngapi wanauza ngapi.

Hujui kuwa inawezekana gazeti kama Uhuru linatoa kopi 100,000 zinauzwa na kusambazwa kwa wana CCM matawini kopi 60,000 huku Mwananchi(mfano) wanatoa kopi 30,000 zinauzwa 15,000 hapo utasema gazeti lipi linauza sana.

Huwezi kutoa jibu la moja kwa moja eti ni utafiti kwa vendor mmoja ,

Au Sema kuwa wewe kuna magazeti unayapenda sana,ni wewe siyo mimi na yule,husiusemee moyo wa mtu mwingine vinginevyo fanya utafiti

Urongo huu Steadman walihawahi ktua stats Mwananchi liliongoza Uhuru wakashika mkia....nanai anasoma Uhuru?Hao CCM wenyewe hawana habari nao...yanalazimishwa kuuzwa na sio kwa kupendwa
 
Mbona kulikoni umeliacha kwenye list yako hapo juu?nalo ni moja ya gazeti ambalo linasomwa sanaaaaa kwasababu ni moja ya magazeti machache yalio vumbua swala zima la ufisadi hapa tanzania,ingawaje lenyewe linatoka kila ijumaaa,nahakikisha lazima nipate copy,nao wapo kwenye kundi la wapambanaji.
 
Byabato acha uongo na jaribu kuwa makini umeambiwa ukiwawakuta watu watano wanasoma magazeti watatu watakuwa wanasoma hayo magazeti aliyoyasema sasa upotoshaji huu wa ccm umeutoa wapi acha njaa zako za kuwekwa kwenye pay roll ya r a na el .jibu ni kuwa magazeti uliyoyasema isipokuwa nipashe ni makini wahariri wake si walamba viatu vya serikali maana tatizo la watanzania na serikali yetu ukitaka usiguswe isifie serikali hata kama ni jmbazi huguswi
mkibunga, nadhani Byabato anaangalia nakala zinazouzwa kwa ujumla kwa maana ya kwamba maofisi yote ya serikari hupelekewa nakala kadhaa za Daily news na Uhuru (hata kama halisomwi) kama sikosei na invoice hufuata , sasa ukiangalia idadi hiyo na kujumlisha Uhuru yapelekwayo kwenye ofisi za chama yawezekana kabisa ukakuta sales zao zikawa juu sawa sawa na argument ya Byabato. Hii ni kwa mtazamo wangu
 
Najua na kufahamu kuwa Tanzania kuna newspapers nyingi sana kutoka
kampuni tafauti,na yote yanauzika na kusomwa kila kona ya Tanzania yetu na hata nje.
Lakini utafiti niliyoufanya pindi ninapokwenda kununua magazeti kwenye vibanda au kwa
hawa news vendor barabarani nikagundua magazeti ya RAIA MWEMA,MWANANCHI,
MWANAHALISI na TANZANIA DAIMA.kidogo na NIPASHE na THE GURDIAN yananunuliwa kwa
kasi sana! Na ukikuta kati ya watanzania makini 3 wanasoma magazeti,basi wawili utakuta
wanasoma magazeti hayo niliyoyaorodhesha hapo juu. Na hata maofisini hali ni hiyohiyo
kwenye vyombo vya usafiri hali ni hiyohiyo. Ukitaka kuamini ikifika saa tano asubuhi nenda
barabarani katafute magazeti hayo kama utayapata! uyapati ng'o unless uzunguke sana.Lakini
hayo mengine utayakuta yanapigwa na vumbi tu.

Sababu hasa ni nini? nisaidieni wanaJF. -Nawasilisha

'Yananunuriwa?' - Wewe ni Muha?
 
:ranger:
Byabato acha uongo na jaribu kuwa makini umeambiwa ukiwawakuta watu watano wanasoma magazeti watatu watakuwa wanasoma hayo magazeti aliyoyasema sasa upotoshaji huu wa ccm umeutoa wapi acha njaa zako za kuwekwa kwenye pay roll ya r a na el .jibu ni kuwa magazeti uliyoyasema isipokuwa nipashe ni makini wahariri wake si walamba viatu vya serikali maana tatizo la watanzania na serikali yetu ukitaka usiguswe isifie serikali hata kama ni jmbazi huguswi

MKIBUNGA NAONA NA WW UMEKOSA UMAKINI KTK HILI MKUU. MWENYE THREAD KASEMA KATI YA WATZ MAKINI 3 WANAOSOMA MAGAZETI BASI 2 WATAKUA WANASOMA HAYO ALIYOYATAJA. SO, IT IS 2 OUT OF 3 AND NOT 3 OUT OF 5! HOPE NEXT TIME UTAKUWA MAKINI SANA PALE UNAPOTAKA KUMKOSOA ALIYE MAKINI KIASI.
 
Back
Top Bottom