Opportunity Cost
JF-Expert Member
- Dec 10, 2020
- 9,035
- 6,905
Wakuu kila la heri na maandalizi ya sikukuu za mwisho wa mwaka.
Moja kwa moja kwenye mada, magari binafsi yanakatiwa bima kwa ajili ya usalama wa vyombo na watumiaji wengine wa barabara pindi ajari zikitokea lakini kwa magari ya serikali ni tofauti kwamba hayana bima.
Swali langu ikitokea ajali ya magari ya serikali kumgonga mtumiaji mwingine wa barabara na kumsababishia ulemavu au kifo au ajali ikawapata maofisa wa Serikali ,watu hao wanapataje haki yao ya fidia kutokana na madhara ya ajali?
Mbona huku kwenye magari binafsi unaweza kwenda kudai fidia kwenye makampuni ya bima kama vielelezo vinajitosheleza na ukapata.
Naomba kufahamishwa.
Moja kwa moja kwenye mada, magari binafsi yanakatiwa bima kwa ajili ya usalama wa vyombo na watumiaji wengine wa barabara pindi ajari zikitokea lakini kwa magari ya serikali ni tofauti kwamba hayana bima.
Swali langu ikitokea ajali ya magari ya serikali kumgonga mtumiaji mwingine wa barabara na kumsababishia ulemavu au kifo au ajali ikawapata maofisa wa Serikali ,watu hao wanapataje haki yao ya fidia kutokana na madhara ya ajali?
Mbona huku kwenye magari binafsi unaweza kwenda kudai fidia kwenye makampuni ya bima kama vielelezo vinajitosheleza na ukapata.
Naomba kufahamishwa.