Isanga family
JF-Expert Member
- Feb 25, 2015
- 14,556
- 25,606
Tanzania tunaendesha magari chakavu ya muda mrefu hiyo imekua kasumba yetu kwa sababu ya kukimbia Kodi kubwa kwa magari ya miaka ya karibuni na ndio maana unaona nyuzi za kuponda magari chakavu haziishi humu..magari hayana matatizo matatizo yapo kwenye uchakavu wetu...tunanunua gari ya 2002 na wewe unasema mpya harafu isikusumbue kweli...Wachache ina maana wapo Isanga. Inawezekana si wewe au mtu unayemfahamu.