msabillah
JF-Expert Member
- Dec 5, 2011
- 4,764
- 3,189
upo sawa mkuu hata mie sipendi kweli , unakuta eti wwngine wanatumia kw famila nzima mmh.Hivyo vyoo vya kukaa sijui watu wanavipendea nini!?
Niliwahi enda sehemu ndo kipo choo hicho tu ikabid nipande juu, wacha nishuke nacho bahati hakikuniumiza.
Ila vyoo vya kukaa ni ushamba labda ni msaada kwa wenzetu walemAvu.