Domenia
JF-Expert Member
- May 26, 2009
- 462
- 22
Kwanini Viongozi walio iba fedha za wananchi wasi ombe msamaha!!
waseme wazi walicho kifanya!!
Tanzania imesha kosa Mode-Viongozi!! Roho mbaya!!
Ina shangaza viongozi hawakubali...
Ujambazi unao kua sasa Tanzania ni sababu Yaufisadi!! Ujinga ni sehemu ya ufisadi--
Je wana mioyo ipi!!?
Aibu na vifo vitafuata..Na huzuni kwenye mioyo iliyo jaa kutu na unyama
waseme wazi walicho kifanya!!
Tanzania imesha kosa Mode-Viongozi!! Roho mbaya!!
Ina shangaza viongozi hawakubali...
Ujambazi unao kua sasa Tanzania ni sababu Yaufisadi!! Ujinga ni sehemu ya ufisadi--
Je wana mioyo ipi!!?
Aibu na vifo vitafuata..Na huzuni kwenye mioyo iliyo jaa kutu na unyama