Ndugu zangu nimefanya mahesabu yangu kwa assumption kwamba nimechangia miezi 180 na umri wangu wa miaka 55.Monthly Gross salary yangu ni sh 402,500, Gross Annual salary ni sh 44,300,000Tsh na average monthly Salary kwa kipindi cha miaka mitano iliyopita ni sh 3,309,570.67. Nimefanya hesabu ya Monthly pension na lumpsum ya kupew kw mifuko ya NSSF,PSPF na LAGF na nimegungua NSSF wanapunja sana. Kwa mapato niliyoyasema hapo juu nimepata ifuatavyo
NSSF: Monthly pension ni 615,871Tsh na lumpsum/kiinua mgongo unapewa sh 23,828,908
PsPF na LAGF; Monthly pension 615,277;Lumpsum/Kiinua mgongo unapewa 114,441,661
Nimetumia formula zilizoko mtandaoni kwa mashirika husika kukokotoa na kugundua kuwa mifuko ya PPF na NSSF wanalipa kidogo sana ile Lampsum na monthly pension.
Je kwa nini wanachama na NSSF na PPF tulipwe kidogo hivyo ukilinganisha na PSPF na LAGF? Naomba ufafanuzi kwa yeyote anayejua juu ya hili suala.
NSSF: Monthly pension ni 615,871Tsh na lumpsum/kiinua mgongo unapewa sh 23,828,908
Nimetumia formula zilizoko mtandaoni kwa mashirika husika kukokotoa na kugundua kuwa mifuko ya PPF na NSSF wanalipa kidogo sana ile Lampsum na monthly pension.
Je kwa nini wanachama na NSSF na PPF tulipwe kidogo hivyo ukilinganisha na PSPF na LAGF? Naomba ufafanuzi kwa yeyote anayejua juu ya hili suala.