JembePoli
JF-Expert Member
- Jul 14, 2015
- 1,324
- 994
Habari wana jamvi? Kuna jambo huwa linanitatiza sana bila shaka hapa leo nitafuta utata.
Ni kwa nini maduka makubwa yote ee yote yanayojishughulisha na uuzaji wa zahabu lazima ukutani kuwe na vioo,Unakuta kila ukuta kuna kioo yaani unajitizama kila upande?
Ni fashion au kuna sababu zaidi..??
Ni kwa nini maduka makubwa yote ee yote yanayojishughulisha na uuzaji wa zahabu lazima ukutani kuwe na vioo,Unakuta kila ukuta kuna kioo yaani unajitizama kila upande?
Ni fashion au kuna sababu zaidi..??