Tabutupu
JF-Expert Member
- Nov 26, 2010
- 13,108
- 18,325
Huwa natafakari nashindwa kujua.. wale wenye malori utakuta wanashuka taratibu sana na kwa makini.. ila wale wa mabasi wanakanyaga tuu utadhani wamebeba pumba za mahindi.
Huwa najiuliza ikitokea breki zinapata hitilafu itakuaje?
Ebu wenye uzoefu na magari tupeni uhakika kinacho fanyika hasa haya magari ya kichina.
Picha ni sweet africa lililo gonga gema hapohapo kitonga baada ya gari kumshinda dereva.
Huwa najiuliza ikitokea breki zinapata hitilafu itakuaje?
Ebu wenye uzoefu na magari tupeni uhakika kinacho fanyika hasa haya magari ya kichina.
Picha ni sweet africa lililo gonga gema hapohapo kitonga baada ya gari kumshinda dereva.