MSEZA MKULU
JF-Expert Member
- Jul 22, 2011
- 3,752
- 5,497
Nakumbuka Tunapoanza darasa la kwanza hadi la Tatu, Nguvu nyingi huwa inapelekwa kwenye kujua kusoma na kuandika. Sijajua sababu na wanajifunza miandiko hii kwakati gani katika carer yao.
Kwa Mujibu wa ACADEMICS OF SCIENCE INSTITUTE OF MEDICINE (IOM) report ya kitafiti iliyofanyika July 2006, Kwa nchi ya Marekani pekee Kwa maelezo hayo yasioyomeka Yanasababisha VIfo vya watu sio chini ya 7000, Na watu Million 1.3 Kujeruhiwa kwa makosa kila mwaka.
NINI KILIFANYIKA;
Coalition of Health Care na Technology Companies walianzisha kitu kinaitwa National e-prescribing Patient Safety Initiative(NEPSI)
mfano
mwenye maarifa zaidi katika hili msaada
source
More than 7,000 People Every Year Die from Doctors' Poor Handwriting
Doctors' sloppy handwriting kills 7,000 a year; national e-prescription campaign launched
Kwa Mujibu wa ACADEMICS OF SCIENCE INSTITUTE OF MEDICINE (IOM) report ya kitafiti iliyofanyika July 2006, Kwa nchi ya Marekani pekee Kwa maelezo hayo yasioyomeka Yanasababisha VIfo vya watu sio chini ya 7000, Na watu Million 1.3 Kujeruhiwa kwa makosa kila mwaka.
NINI KILIFANYIKA;
Coalition of Health Care na Technology Companies walianzisha kitu kinaitwa National e-prescribing Patient Safety Initiative(NEPSI)
mfano
mwenye maarifa zaidi katika hili msaada
source
More than 7,000 People Every Year Die from Doctors' Poor Handwriting
Doctors' sloppy handwriting kills 7,000 a year; national e-prescription campaign launched