Nikukumbushe
JF-Expert Member
- Jun 4, 2013
- 2,602
- 408
Jamani naomba ufafanuzi au kama kuna mwenye tetesi kwa nini iwe hivi? Kulikoni? Inaumiza sana tena sana,balaa gani hili linalotukumba watanzania? Kwa kweli,tunakoelekea sielewi!! Kama hali ndiyo hii hakika Tanzania hakuna amani ila kuna utulivu tu.