Baba Mtakatifu
JF-Expert Member
- Dec 31, 2017
- 1,324
- 2,435
Kuna nini nyuma ya pazia, mbona kituo cha habari kilipo vamiwa na watu wenye silaha wadau mbalimbali hasa wa habari walijitokeza kukemea na kulaani.
Ila paka sasa sjaona wala kuskia wachungaji na maaskofu wakilaani na kukemea mauaji yaliyifanywa na mkurugenzi ndani ya kanisa huko itigi???
Sent using Jamii Forums mobile app
Ila paka sasa sjaona wala kuskia wachungaji na maaskofu wakilaani na kukemea mauaji yaliyifanywa na mkurugenzi ndani ya kanisa huko itigi???
Sent using Jamii Forums mobile app