Kwanini Ma IT bongo sio matajiri?

notmalick

Member
Aug 20, 2014
71
99
Kuna fursa kubwa sana yani pesa mingi ya duniani ipo katika sekta ya teknolojia. Fursa inazidi kukua kila siku but why jamaa zetu bongo hapa hawana mpunga yani kuunga unga kwingi.

Personally am not an IT but i love this profession. Nchi kama bongo ipo nyuma sana lakini yenye matamanio makubwa yakufahamu teknolojia then whats pulling us back.?!

Mi ishu nimeona kwenye management ya hawa talented stars pia na wengi wao kuto fahamu marketing and advertisement.

Costech wanafeli na hubs zingine the push is not that hard. Hebu tuimarishe huu mfumo vijana wapige hela. Mifumo user friendly ambayo kila mwananchi hata mwenye elimu ndogo ya teknolojia anaweza master. Kwa research nliyofanya tech is not that expensive nkimaanisha kuna softwares, systems and tools zinawwza patikana in a cheaper way ughaibuni kwa njia tofauti(kijanja).

Na madini yote haya tufungue cyber mall moja kubwa sana, wajae wabongo humo, wachina na warusi wa kutosha. [HASHTAG]#YouthWeCan[/HASHTAG]
 
Kuna fursa kubwa sana yani pesa mingi ya duniani ipo katika sekta ya teknolojia. Fursa inazidi kukua kila siku but why jamaa zetu bongo hapa hawana mpunga yani kuunga unga kwingi.

Personally am not an IT but i love this profession. Nchi kama bongo ipo nyuma sana lakini yenye matamanio makubwa yakufahamu teknolojia then whats pulling us back.?!

Mi ishu nimeona kwenye management ya hawa talented stars pia na wengi wao kuto fahamu marketing and advertisement.

Costech wanafeli na hubs zingine the push is not that hard. Hebu tuimarishe huu mfumo vijana wapige hela. Mifumo user friendly ambayo kila mwananchi hata mwenye elimu ndogo ya teknolojia anaweza master. Kwa research nliyofanya tech is not that expensive nkimaanisha kuna softwares, systems and tools zinawwza patikana in a cheaper way ughaibuni kwa njia tofauti(kijanja).

Na madini yote haya tufungue cyber mall moja kubwa sana, wajae wabongo humo, wachina na warusi wa kutosha. [HASHTAG]#YouthWeCan[/HASHTAG]


Kwa sababu Bongo siyo Nchi tajiri!
 
Well said but kiekweli bongo bado sana cause am in this industry.

Hapana bro, muda ndio huu cause mambo ya tech yapo hot ndo time ya ku take opportunity. I think kuna umuhimu wa kuwepo private regulatory body ukiacha TCRA. Hatujaweka mazingira rafiki ya kukurabisha investors wa sekta hii ambao ni muhimu wangekuja kutuongezea maujanja. But shauri langu kwa watu wa IT kuwa na mazoea ya kusoma vitabu vya marketing na kuangalia how they can market their talents.
 
kwani mmiliki wa jf sio tajiri? wapo ma IT matajiri pia Tanzania, kama vile ambavyo kuna Ma IT masikini huko Duniani ambao wanaishia tu kuwa wauzaji/wazungumzaji kwenye show room.
 
Mimi nazan ni mfumo wa elimu. Mtu anasoma darasa la kwanza mpaka advance haifaham hata computer. Hapo akifaulu anachagua IT, anaenda chuo na kusoma miaka 3 then anagraduate na kurudi mtaani. Wenzetu wamekeza hayo mambo kweny elimu, mtoto anakua akijua hzo mambo ndio maana utaskika kijana wa miaka 14 afanya hiki, huku bongo kijana wa miaka 14 anajifunza kusoma, kukalili na kuandika,
 
Kuna fursa kubwa sana yani pesa mingi ya duniani ipo katika sekta ya teknolojia. Fursa inazidi kukua kila siku but why jamaa zetu bongo hapa hawana mpunga yani kuunga unga kwingi.

Personally am not an IT but i love this profession. Nchi kama bongo ipo nyuma sana lakini yenye matamanio makubwa yakufahamu teknolojia then whats pulling us back.?!

Mi ishu nimeona kwenye management ya hawa talented stars pia na wengi wao kuto fahamu marketing and advertisement.

Costech wanafeli na hubs zingine the push is not that hard. Hebu tuimarishe huu mfumo vijana wapige hela. Mifumo user friendly ambayo kila mwananchi hata mwenye elimu ndogo ya teknolojia anaweza master. Kwa research nliyofanya tech is not that expensive nkimaanisha kuna softwares, systems and tools zinawwza patikana in a cheaper way ughaibuni kwa njia tofauti(kijanja).

Na madini yote haya tufungue cyber mall moja kubwa sana, wajae wabongo humo, wachina na warusi wa kutosha. [HASHTAG]#YouthWeCan[/HASHTAG]
Not so easy.
Urasimu umejaa Tanzania.ao
Costech wenyewe ni wapiga dealz akuna kitu pale! Wanaa cha wagunduzi wa kweli wanapiga hela na makanjanja!
Pia serikali na idara usika azipo kusaidia hilo! South Africa walivyoanzisha Black empower ment ilikuwa kwenye tender ukiwa black tayari ni marks 20! Na serikali ilikuwa analisimamia hilo.
 
Kuna fursa kubwa sana yani pesa mingi ya duniani ipo katika sekta ya teknolojia. Fursa inazidi kukua kila siku but why jamaa zetu bongo hapa hawana mpunga yani kuunga unga kwingi.

Personally am not an IT but i love this profession. Nchi kama bongo ipo nyuma sana lakini yenye matamanio makubwa yakufahamu teknolojia then whats pulling us back.?!

Mi ishu nimeona kwenye management ya hawa talented stars pia na wengi wao kuto fahamu marketing and advertisement.

Costech wanafeli na hubs zingine the push is not that hard. Hebu tuimarishe huu mfumo vijana wapige hela. Mifumo user friendly ambayo kila mwananchi hata mwenye elimu ndogo ya teknolojia anaweza master. Kwa research nliyofanya tech is not that expensive nkimaanisha kuna softwares, systems and tools zinawwza patikana in a cheaper way ughaibuni kwa njia tofauti(kijanja).

Na madini yote haya tufungue cyber mall moja kubwa sana, wajae wabongo humo, wachina na warusi wa kutosha. [HASHTAG]#YouthWeCan[/HASHTAG]
wapi ambako ni matajiri
 
Kuna fursa kubwa sana yani pesa mingi ya duniani ipo katika sekta ya teknolojia. Fursa inazidi kukua kila siku but why jamaa zetu bongo hapa hawana mpunga yani kuunga unga kwingi.
Personally am not an IT but i love this profession. Nchi kama bongo ipo nyuma sana lakini yenye matamanio makubwa yakufahamu teknolojia then whats pulling us back.?!
Mi ishu nimeona kwenye management ya hawa talented stars pia na wengi wao kuto fahamu marketing and advertisement.

Costech wanafeli na hubs zingine the push is not that hard. Hebu tuimarishe huu mfumo vijana wapige hela. Mifumo user friendly ambayo kila mwananchi hata mwenye elimu ndogo ya teknolojia anaweza master. Kwa research nliyofanya tech is not that expensive nkimaanisha kuna softwares, systems and tools zinawwza patikana in a cheaper way ughaibuni kwa njia tofauti(kijanja).

Na madini yote haya tufungue cyber mall moja kubwa sana, wajae wabongo humo, wachina na warusi wa kutosha. [HASHTAG]#YouthWeCan[/HASHTAG]
IT wengi wanasubiri waajiriwe wakati elimu yao haitaji experience wala ma GPA makubwa kama wanavyozani watu wengi.
Unaitaji kubadilisha uliyojifunza kwa kutatua matatizo ukapata mpunga wa kutisha mfano badala yakutumia elimu ya kudesign sijui web nk kufundisha watu iliwakupe kazi ni bora ukadesign yakwako wewe upige mpunga maana bongo MTU unakuta anabiashara inaitaji website na anampunga wa kutosha lakini mh!.
Utaona wanapost I design website, blog, blonchers, banners wakati yeye mwenyewe hata biashara yake haina hata kimoja anatangaza na hata portfolio hana unategemea nini . wengine hata ukimpa kazi unaona bora ugoogle utengeneze mwenyewe maana ni utumbo
 
9 Reactions
Reply
Back
Top Bottom