Greatest Of All Time
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 20,712
- 45,090
Winga wa zamani wa kimataifa wa Yanga na Tanzania, Edibily Jonas Lunyamila ana umaarufu mkubwa sana jijini Kampala, katika mashabiki watano wakongwe wa mpira basi watatu lazima wamuulizie Lunyamila hasa wakijua kama wewe ni Mtanzania.
Huku kwetu wabongo tushamsahau, je ndio kusema nabii hakubaliki kwao? Je ni kitu gani Lunyamila aliwafanya Waganda mpaka leo wanamkumbuka? karibuni.
Huku kwetu wabongo tushamsahau, je ndio kusema nabii hakubaliki kwao? Je ni kitu gani Lunyamila aliwafanya Waganda mpaka leo wanamkumbuka? karibuni.