Kwanini Lowassa hakuruhusu maswali kama Wassira na Mwigulu?

singidadodoma

JF-Expert Member
Nov 11, 2013
4,394
1,531
kitendo cha Lowasa kuwa mgombea wa kwanza wa ccm kutangaza nia, inasemekana kuwa sababu kubwa ya kuwahi kutangaza nia ni kuogopa kuwa wagombea wenzake wataruhusu kuulizwa maswali moja kwa moja jukwaani kama alivyofanya leo asubuhi Steveni Wasira alipokuwa akitangaza nia kwenye chuo cha benki kuu leo asubuhi.

pia Mwinguru naye alifuata nyayo za wasira za kuruhusu maswali katika mjadala unaoendelea sasa ambao pia unarushwa live na star tv pamoja na redio free africa kama ilivyokuwa kwa Wasira.

wachambuzi wa mamabo ya kisiasa wanasema kuwa laiti kama lowasa angeruhusu maswali ndio ungekuwa mwisho wa ndoto yake ya matumaini aliyoianzisha jana.

tunawaomba team lowasa waje hapa kutujibu kwanini hakuruhusu maswali wakati hali inavyoendelea inaonyesha kuwa wagombea wengine wote huenda wataruhusu maswali uya papo kwa papo, je hawaoni kuwa mgombea wao atakuwa keshapigwa bao la kisigino.
 
kitendo cha Lowasa kuwa mgombea wa kwanza wa ccm kutangaza nia, inasemekana kuwa sababu kubwa ya kuwahi kutangaza nia ni kuogopa kuwa wagombea wenzake wataruhusu kuulizwa maswali moja kwa moja jukwaani kama alivyofanya leo asubuhi Steveni Wasira alipokuwa akitangaza nia kwenye chuo cha benki kuu leo asubuhi.

pia Mwinguru naye alifuata nyayo za wasira za kuruhusu maswali katika mjadala unaoendelea sasa ambao pia unarushwa live na star tv pamoja na redio free africa kama ilivyokuwa kwa Wasira.

wachambuzi wa mamabo ya kisiasa wanasema kuwa laiti kama lowasa angeruhusu maswali ndio ungekuwa mwisho wa ndoto yake ya matumaini aliyoianzisha jana.

tunawaomba team lowasa waje hapa kutujibu kwanini hakuruhusu maswali wakati hali inavyoendelea inaonyesha kuwa wagombea wengine wote huenda wataruhusu maswali uya papo kwa papo, je hawaoni kuwa mgombea wao atakuwa keshapigwa bao la kisigino.
 
Hata hao wanaoruhusu maswali hawana cha zaidi bado tunaendelea kumwagiwa POROJO tu je ni maswali gani wanayo ulizwa:tonguez:
 
Kwani Safari ya Matumaini imeisha

Ndio tumeanza
Makusanyiko la Arusha ni moja kati ya Mengi


Jana haikuwa mdahalo kwetu
 
Hivi kwa nyomi lile kulikuwa na hata mda wa kuuliza maswali! Ukifika wakati maswali yataulizwa na kujibiwa! Lkn si kwa hali iliyokuwepo pale uwanjani
 
Alisimama kwa dakika 28 tu akachoka, unategemea nini kama angeruhusu kuulizwa maswali? Kati ya wote waliokwisha kutangaza nia huyo mzee wa monduli niwa mwisho ila kwa kukusanya watu wakwanza.
 
Hivi angepata maswali toka pale uwanjani? Watu wako wangapi pale
 
Lowassa alishindwa kupanda ngazi, atawezaje kujibu maswali?

Huyu Mwigulu nae kajibu hayo maswali kisiasa siasa tuu.

Dawa yao inaiva Oktoba.
 
kitendo cha Lowasa kuwa mgombea wa kwanza wa ccm kutangaza nia, inasemekana kuwa sababu kubwa ya kuwahi kutangaza nia ni kuogopa kuwa wagombea wenzake wataruhusu kuulizwa maswali moja kwa moja jukwaani kama alivyofanya leo asubuhi Steveni Wasira alipokuwa akitangaza nia kwenye chuo cha benki kuu leo asubuhi.

pia Mwinguru naye alifuata nyayo za wasira za kuruhusu maswali katika mjadala unaoendelea sasa ambao pia unarushwa live na star tv pamoja na redio free africa kama ilivyokuwa kwa Wasira.

wachambuzi wa mamabo ya kisiasa wanasema kuwa laiti kama lowasa angeruhusu maswali ndio ungekuwa mwisho wa ndoto yake ya matumaini aliyoianzisha jana.

tunawaomba team lowasa waje hapa kutujibu kwanini hakuruhusu maswali wakati hali inavyoendelea inaonyesha kuwa wagombea wengine wote huenda wataruhusu maswali uya papo kwa papo, je hawaoni kuwa mgombea wao atakuwa keshapigwa bao la kisigino.

Anamaswali magumu yanamwandama... richmond imemwandama... imemuharibia kabisa.
 
Lowasa aliona mbali kutoruhusu maswali,nimemshangaa Mwigulu amekwepa kujibu swali aliloulizwa kuhusu wezi wa Escrow
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Back
Top Bottom