technically
JF-Expert Member
- Jul 3, 2016
- 11,975
- 48,843
Mpaka kuwafunika wapigania chama kama wakina Mwalimu.
Mpaka kuwapoteza wakina Wenje wamekosa nguvu ya kupambana na kutetea wananchi.
Baada chadema impe cheo mtu kama Vincent Nyerere wao wanaangaika na mtu ambaye ana makando kando ya ufisadi.
Timu ya vijana kama Vincent Nyerere,Wenje,Kiwia wangeweza kujenga chama maana hawapo bungeni lakini sio Lowassa huyo ninayemjua.
Hivi toka lini Lowassa na &com aliowaacha ccm wameacha ufisadi?
Lowassa apumzike na yeye asiwe muongo na mtu wa kubadilika alituhaidi mwenyewe kuwa akishindwa uchaguzi ataenda kuchunga ngombe .
Sasa mtu ambaye anashindwa kutimiza tu ahadi ndogo kama hii anawezaje kuaminiwa kupewa nchi?..
Lazima tuambiane ukweli kuwa mtu kutopelekwa mahakamani sio kigezo cha kutokuwa fisadi.
Acha vijana wanaoaminika wafanye Kazi .
Mpaka kuwapoteza wakina Wenje wamekosa nguvu ya kupambana na kutetea wananchi.
Baada chadema impe cheo mtu kama Vincent Nyerere wao wanaangaika na mtu ambaye ana makando kando ya ufisadi.
Timu ya vijana kama Vincent Nyerere,Wenje,Kiwia wangeweza kujenga chama maana hawapo bungeni lakini sio Lowassa huyo ninayemjua.
Hivi toka lini Lowassa na &com aliowaacha ccm wameacha ufisadi?
Lowassa apumzike na yeye asiwe muongo na mtu wa kubadilika alituhaidi mwenyewe kuwa akishindwa uchaguzi ataenda kuchunga ngombe .
Sasa mtu ambaye anashindwa kutimiza tu ahadi ndogo kama hii anawezaje kuaminiwa kupewa nchi?..
Lazima tuambiane ukweli kuwa mtu kutopelekwa mahakamani sio kigezo cha kutokuwa fisadi.
Acha vijana wanaoaminika wafanye Kazi .