iCode
JF-Expert Member
- Oct 16, 2013
- 758
- 439
Nikweli ndio rais lakn nashangazwa na hawa wanaotumwa kuandika watu majina ktk nyumba,inamaana bao la mkono lipo?
Ninatoa Rai Wanaukawa wote wajiamini na wasitishike na vitisho vyovyote. Mkuu hao tayari washashtukiwa, Mungu anawaumbua kila kukicha.