Makyomwango
JF-Expert Member
- Apr 11, 2011
- 322
- 79
Katika gazeti la mwananchi imetaarifiwa kuwaLisu, Mnyika, Slaa pamoja na maafisa waandamizi wa CHADEMA hawakuhudhuria mapokeziya Lowassa Jana tofauti na ilivyokuwa katika mapokezi ya Lembeli na Ester Bulaya.
Naomba mtujuze kama walikuwa na udhuru kwani hii si kawaida kwa tukio kama la jana.
Naomba mtujuze kama walikuwa na udhuru kwani hii si kawaida kwa tukio kama la jana.