Kwanini Lissu, Mnyika, Slaa na wengine hawakuwepo kwenye mapokezi ya Lowassa?

Nafkri wenye viti wa ukawa ndo waliokuapo.
Simple minded

Mkutano haukuwa wa UKAWA ulikuwa wa CHADEMA hivyo viongozi wa CHADEMA ilikuwa muhimu wawepo kuliko hao viongozi wengine wa UKAWA. Na ndio maana Mh. Mbowe alionyesha katiba ya CDM kuwa Lowasa ameshakabidhiwa na ameisoma.
 
Katika gazeti la mwananchi imetaarifiwa kuwaLisu, Mnyika, Slaa pamoja na maafisa waandamizi wa CDM hawakuhudhuria mapokeziya Lowasa Jana tofauti na ilivyokuwa katika mapokezi ya Lembeli na Ester Bulaya. Naomba mtujuze kama walikuwa na udhuru kwani hii si kawaida kwa tukio kama la jana

mkuu, kwani lazima wawepo wote? wewe vipi? lowasa ni mali ya UKAWA, viongozi wawakilishi wa UKAWA walikuwepo wote. tatizo kwani nini?
 
Katika gazeti la mwananchi imetaarifiwa kuwaLisu, Mnyika, Slaa pamoja na maafisa waandamizi wa CDM hawakuhudhuria mapokeziya Lowasa Jana tofauti na ilivyokuwa katika mapokezi ya Lembeli na Ester Bulaya. Naomba mtujuze kama walikuwa na udhuru kwani hii si kawaida kwa tukio kama la jana
Hao mkuu wanajitambua sana.ni wanasiasa wa ukweli siyo wapiga hela kama mkuu wao. Ninahisi hawatakwenda kufanya kampeni mitaani au wako njiani kuhama vyama vyao, vinginevyo inabidi waandae usalama na ulinzi wa kutosha mitaaani kule kwa ajili ya kukwepa mawe yatakayokuwa yanarushwa.
 
Katika gazeti la mwananchi imetaarifiwa kuwaLisu, Mnyika, Slaa pamoja na maafisa waandamizi wa CDM hawakuhudhuria mapokeziya Lowasa Jana tofauti na ilivyokuwa katika mapokezi ya Lembeli na Ester Bulaya. Naomba mtujuze kama walikuwa na udhuru kwani hii si kawaida kwa tukio kama la jana


Chadema leaders defend defection





 

 

 

Tundu Lissu who is Singida East MP and Dr
Tundu Lissu who is Singida East MP and Dr Wilibroad Slaa




In Summary


Outgoing Opposition Chief Whip Tundu Lissu said the move was all about “perfect timing” under the prevailing political climate.


By Katare Mbashiru and Frank Kimboy



Dar es Salaam. Chadema leaders took to social media yesterday to explain the party’s decision to take in former Prime Minister Edward Lowassa, who has defected from CCM.


Outgoing Opposition Chief Whip Tundu Lissu said the move was all about “perfect timing” under the prevailing political climate.


Chadema Secretary-General Willibrod Slaa said Mr Lowassa, who resigned in 2008 after he was linked with the Richmond scandal, had since been vindicated.


Mr Lissu wrote on his Facebook page that the four parties under the Ukawa coalition – Chadema, CUF, NCCR-Mageuzi and NLD – have unanimously agreed to field Mr Lowassa as their joint presidential candidate in the October 25 General Election.


“The big question we need to answer correctly is why we have welcomed him and picked him as our flag-bearer.


“CCM is now split down the middle, and this is the perfect moment someone with Mr Lowassa’s political clout and influence helped us win in constituencies that are not part of our traditional strongholds,’’ said Mr Lissu, who is also the outgoing Singida East MP.


He added that Mr Lowassa would help the Opposition to unseat CCM because “he was more popular than anyone else in CCM”.


On corruption allegations that have dogged Mr Lowassa for over seven years, Mr Lissu said: “We have decided that our biggest enemy is CCM and its corrupt system, not Lowassa as an individual. By inviting Mr Lowassa, the Opposition will be able to unseat CCM and dismantle the entire corrupt system.”


Dr Slaa wrote on his Twitter handle: “There are many CCM members accused of involvement in corruption who have come to us with evidence vindicating them... Mr Edward Lowassa is not the first.”


He urged more CCM members accused of corruption to convince the Chadema leadership they were clean and the party would decide whether or not to take them on board.


The Citizen reached some of Mr Lowassa’s staunchest supporters in CCM for comment yesterday, and they were generally guarded in their remarks on the former Monduli MP’s decision to jump ship.


Those who spoke to The Citizen included former Home Affairs minister, who earlier this month launched a blistering diatribe against CCM after Mr Lowassa was axed from the list of members seeking nomination as the party’s presidential candidate.


Yesterday, he preferred to keep his views about Mr Lowassa’s defection to himself.


“Listen my brother. I’m a CCM cadre, so I can’t talk about other political parties,” he said.


Dr Nchimbi added that he would be in a better position to comment after hearing what Mr Lowassa had to say.


Singida CCM regional chairman Mgana Msindai, another diehard Lowassa supporter, said the former premier’s decision should be respected.


Asked whether he would follow Mr Lowassa into Chadema, Mr Msindai responded: “I’m a CCM member, and I’m currently seeking my party’s nomination as a parliamentary candidate.”


Shinyanga CCM regional chairman Hamisi Mngeja also said Mr Lowassa’s decision should be respected, adding that he had the right to change political allegiance.
 
Kwani tatizo ni nini? kama walikuwa na majukumu mengine wangehudhuria vipi? Acha ujinga

Fuatilia hutuba ya Mbowe akimkaribisha Lowasa utajua ni nini kilichomsibu.

Ameeleza hivi: Amepata kazi sana kuwashawishi wanachama na viongozi wa CHADEMA kukubali kumpokea Lowasa. Jiulize ni viongozi gani hao? Ukipata jibu liweke hadharani. Nakutakia kila la heri na poleni.
 
Nadhani kilikuwa kikao cha watu wa Kilimanjaro, yaani Mbowe Mbatia Makaidi na shemeji yao Lipumba. Hata Baregu prof.safari na Marando hawakuwepo wakati mkutano ulikuwa hapohapo Dar.

prof safari alikuepo na hata marando alikuepo pia.. hawa wengine mnyika na kankono-slaa kweli hata mie sikuwaona
 
Fuatilia hutuba ya Mbowe akimkaribisha Lowasa utajua ni nini kilichomsibu.

Ameeleza hivi: Amepata kazi sana kuwashawishi wanachama na viongozi wa CHADEMA kukubali kumpokea Lowasa. Jiulize ni viongozi gani hao? Ukipata jibu liweke hadharani. Nakutakia kila la heri na poleni.
Na kazi ngumu bado inakuja, tunawasubiri mitaani tuje tuwatumie mikadi yao usoni. Pumbaaf ...kabisa, watu wamepoteza uhai kwa sababu ya siasa uchwala hizi walizokuwa wanatuaminisha. Siasa za ajabu na kweli. Eti mwisho wa siku wanatabasamu vizuuuri kabisa na kuwakumbatia, wangese kweli. Yaani kiukweli hasira walizonazo wafuasi haiziwezi kuisha hivihivi. Malipo ni hapa hapa duniani
 
Time will tell...loading....ccm they are coming to reviel their plan B....ha ha haa....
 
Nadhani kilikuwa kikao cha watu wa Kilimanjaro, yaani Mbowe Mbatia Makaidi na shemeji yao Lipumba. Hata Baregu prof.safari na Marando hawakuwepo wakati mkutano ulikuwa hapohapo Dar.

Vp Kuhusu Salum Mwalimu Na Juma Duni Haji? Au Ushapanda Basi La Ukabila Karne Hii? Pole Babu!
 
Chadema leaders defend defection





 

 

 

Tundu Lissu who is Singida East MP and Dr
Tundu Lissu who is Singida East MP and Dr Wilibroad Slaa




In Summary


Outgoing Opposition Chief Whip Tundu Lissu said the move was all about “perfect timing” under the prevailing political climate.


By Katare Mbashiru and Frank Kimboy



Dar es Salaam. Chadema leaders took to social media yesterday to explain the party’s decision to take in former Prime Minister Edward Lowassa, who has defected from CCM.


Outgoing Opposition Chief Whip Tundu Lissu said the move was all about “perfect timing” under the prevailing political climate.


Chadema Secretary-General Willibrod Slaa said Mr Lowassa, who resigned in 2008 after he was linked with the Richmond scandal, had since been vindicated.


Mr Lissu wrote on his Facebook page that the four parties under the Ukawa coalition – Chadema, CUF, NCCR-Mageuzi and NLD – have unanimously agreed to field Mr Lowassa as their joint presidential candidate in the October 25 General Election.


“The big question we need to answer correctly is why we have welcomed him and picked him as our flag-bearer.


“CCM is now split down the middle, and this is the perfect moment someone with Mr Lowassa’s political clout and influence helped us win in constituencies that are not part of our traditional strongholds,’’ said Mr Lissu, who is also the outgoing Singida East MP.


He added that Mr Lowassa would help the Opposition to unseat CCM because “he was more popular than anyone else in CCM”.


On corruption allegations that have dogged Mr Lowassa for over seven years, Mr Lissu said: “We have decided that our biggest enemy is CCM and its corrupt system, not Lowassa as an individual. By inviting Mr Lowassa, the Opposition will be able to unseat CCM and dismantle the entire corrupt system.”


Dr Slaa wrote on his Twitter handle: “There are many CCM members accused of involvement in corruption who have come to us with evidence vindicating them... Mr Edward Lowassa is not the first.”


He urged more CCM members accused of corruption to convince the Chadema leadership they were clean and the party would decide whether or not to take them on board.


The Citizen reached some of Mr Lowassa’s staunchest supporters in CCM for comment yesterday, and they were generally guarded in their remarks on the former Monduli MP’s decision to jump ship.


Those who spoke to The Citizen included former Home Affairs minister, who earlier this month launched a blistering diatribe against CCM after Mr Lowassa was axed from the list of members seeking nomination as the party’s presidential candidate.


Yesterday, he preferred to keep his views about Mr Lowassa’s defection to himself.


“Listen my brother. I’m a CCM cadre, so I can’t talk about other political parties,” he said.


Dr Nchimbi added that he would be in a better position to comment after hearing what Mr Lowassa had to say.


Singida CCM regional chairman Mgana Msindai, another diehard Lowassa supporter, said the former premier’s decision should be respected.


Asked whether he would follow Mr Lowassa into Chadema, Mr Msindai responded: “I’m a CCM member, and I’m currently seeking my party’s nomination as a parliamentary candidate.”


Shinyanga CCM regional chairman Hamisi Mngeja also said Mr Lowassa’s decision should be respected, adding that he had the right to change political allegiance.
CC: Lizaboni na wengineo mlio kundi moja
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom