Kwanini Lissu asipuuzwe? Sasa inakuwa too much!

Kwa nini vyombo vya habari vinamfuata na kumuandika kila siku...? Wazungu wana MSEMO wao...kuwa TOO MUCH OF ANYTHING IS/ITS HARMFUL..

Wanahabari kila wanapozidi kumfuata badala ya kumpa breki, ndio jinsi bwana LISSU anavyozidi kutoa matamko yanayo pelekea watu (jamii ya Watanzania) kumuona hana pointi..
Tazama vyombo vya habari vilipo chukua maamuzi ya kutoandika habari za Ndugu Poul Makonda, hii imekuwa ni kama HASIRA ZA MKIZI, ama KUVUJA KWA PAKACHA...

Ndugu Makonda angalau ameweza kupata TULIZO japo kwa MUDA...

Pointi yangu hapa ni kwamba, ni vyema T.LISSU akakaa mbali kwa muda na hivi vyombo vya habari..
Trust me Lissu ni smart kuliko wanasiasa wote hapa nchini.
 
Alichokisema Mwenyekiti wa Barrick Prof Thornton leo. Najaribu kutafuta aliposema kwamba watalipa pesa yote trilion 100 sijapaona,atakayepaona aniite
............................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................ ''I have come here in order to help resolve the problem and I assure the President that we are interested in sitting down and reaching a resolution which is a win win (A win for Tanzania and a win for Barrick and our Subsidiary company, ACACIA)

After having these extensive conversations I feel very optimistic that we will reach a resolution which is a win win for all parties and we will be sitting down soon with a team designated by the President and our own team to go through the detail of that and I feel very good about the progress today.''

Mkuu;
Hujawatendea vyema Uvccm. Watafasirie hicho kinyamwezi alichokisema huyo Prof. Thornton. Huenda hata msomi mwenziye hakumuelewa. Yawezekana kama hakukuwa na mkalimani, mtu aliposikia tu; win win na neno Tanzania akajua kuwa ameambiwa kuwa Tanzania mme wini wini yoote. Hivyo, baada ya kuwini hata kabla ya kwenda mahakamani ni nini tena ka sio kulipwa tu??
Jiulize; Kama kweli Barrik wapo tiyari kutulipa, na Bunge letu tukufu limeshaongezewa masiku ya kuketi wajadili mikataba hii feki, kwa nini Prof. Mipango asifute kabisa bajeti ya mwaka huu na kuwaandalia mgawo kila wizara 100% ya maombi yao? Hii bajeti yetu ni Trill 32 yaani only 10% ya mapesa tutakayo lipwa na mzungu wetu mwizi. Si Mkulu ampe amri kuwa atupe haraka hiyo 10% tuweze kuendelea na mipango yetu huku akitafuta hizo nyingine kabla ya mwaka kuisha??
Hatutaki tena chenchi yetu ipotee ka ile ya rada. Tugawiwe hata hii inayotosheleza bajeti ya mwaka huu
 
Silikatai hilo, naungana nawe, hakuna Mwanasiasa wa "KUKOMPITI" na Lissu katika maswala yoyote yanahusu Siasa (hasa za nchi hii).

Mashaka yangu, ni wanahabari kutumia Weakness (maana nae ni Binaadamu anachoka) kwa kumfuata na kumuhoji wakati ambao angetakiwa kupumzika.
 
Kila analolisema,litajadiliwa na kujibiwa. Kuanzia na wa chini hadi wa juu kabisa Serikalini na chamani. Kila analosema,litapondwa bila kupendwa na kila 'mzalendo' wa Serikalini na ndani ya CCM.

La mwisho ni la jana. Akichangia bajeti huko Dodoma,Lissu alitoa maoni kuwa Rais Mstaafu Kikwete hapaswi kupona katika sakata la madini kwakuwa ni yeye ndiye mtiasaini wa kwanza wa nyaraka za madini miaka ya tisini.Tena wakati huo Kikwete hakuna na kinga.

Maoni hayo ya Lissu yakaripotiwa na vyombo mbalimbali vya habari ndani na nje ya nchi. Imekuwa nongwa! Rais Magufuli na hata Waziri Mwakyembe wameonya juu ya kuwazungumzia Marais wastaafu. Marais wastaafu,wakuu wanasema,wanapaswa kuachwa wapumzike.

Vyombo vya habari ndivyo vilivyoonywa. Lissu amesababisha hayo. Lissu anaponza media. Kwanini maneno ya Lissu yasiwe yanapuuzwa? Kuanzia makinikia hadi sasa,imekuwa too much!

Bastola ya nini tena jamani!?

Mzee Tupatupa wa Lumumba,Dar es Salaam
Apuuzwe kamanda mwenzako tena?
 
Alichokisema Mwenyekiti wa Barrick Prof Thornton leo. Najaribu kutafuta aliposema kwamba watalipa pesa yote trilion 100 sijapaona,atakayepaona aniite
............................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................ ''I have come here in order to help resolve the problem and I assure the President that we are interested in sitting down and reaching a resolution which is a win win (A win for Tanzania and a win for Barrick and our Subsidiary company, ACACIA)

After having these extensive conversations I feel very optimistic that we will reach a resolution which is a win win for all parties and we will be sitting down soon with a team designated by the President and our own team to go through the detail of that and I feel very good about the progress today.''
Hii copy and paste kwenye kila bandiko inaboa ndugu.
 
Alichokisema Mwenyekiti wa Barrick Prof Thornton leo. Najaribu kutafuta aliposema kwamba watalipa pesa yote trilion 100 sijapaona,atakayepaona aniite
............................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................................ ''I have come here in order to help resolve the problem and I assure the President that we are interested in sitting down and reaching a resolution which is a win win (A win for Tanzania and a win for Barrick and our Subsidiary company, ACACIA)

After having these extensive conversations I feel very optimistic that we will reach a resolution which is a win win for all parties and we will be sitting down soon with a team designated by the President and our own team to go through the detail of that and I feel very good about the progress today.''
Mkulu alizungumza na huyu mkuu wa "Dhahabu na makanikia waliyorithishwa na CCM" kupitia wakalimani?
 
Ni Lissu pia aliyesema tusiwaguse hawa ACACIA kwa kuwa watatupeleka mahakamani na tutalipishwa fidia kubwa sana.

Pia ni Lissu kwenye waraka wake aliyousambaza juzi kwenye kipengele cha 7 a, b, c d aliwataja wahusika walioingia mkataba wenye uozo akiwataja JK, Mkapa, mawaziri na manaibu na wabunge lakini kwa makusudi akawasahau MAWAZIRI WAKUU (LOWASSA NA SUMAYE).

Kwahiyo sio Serikali na CCM tu wakumpuuza huyu jamaa bali hata WANANCHI TUSIO NA USHABIKI WA VYAMA sio tu kumpuuza bali tunamtilia mashaka na kauli na mienendo yake.

Hapo bado hatujagusia swala la kuwa yeye ndiye mwandishi wa The List of Shame!!!!
Kama ulimsikiliza Lissu hukufahamu alichosema.
Lissu hakusema ACACIA wasiguswe. Lissu alitahadharisha tu kwamba Tanzania wamesaini mikataba inayoridhia kunyonywa na kuibiwa kwa hiyo ijitoe kwanza huko ........ baadaye ndio ...

 
CCM bado itaendelea kutawala- hakuna chama mbadala hapa tz, labda uanzishe kipya kama ni hivi tuvionavya na viongozi waliomo, ni mara100 CCM ikaendelea kutawala-wengine ndo wamegeuka kuwa Acacia je wakipewa nafasi si ndo tutakufa kabisa.
 
Kwa nini vyombo vya habari vinamfuata na kumuandika kila siku...? Wazungu wana MSEMO wao...kuwa TOO MUCH OF ANYTHING IS/ITS HARMFUL..

Wanahabari kila wanapozidi kumfuata badala ya kumpa breki, ndio jinsi bwana LISSU anavyozidi kutoa matamko yanayo pelekea watu (jamii ya Watanzania) kumuona hana pointi..
Tazama vyombo vya habari vilipo chukua maamuzi ya kutoandika habari za Ndugu Poul Makonda, hii imekuwa ni kama HASIRA ZA MKIZI, ama KUVUJA KWA PAKACHA...

Ndugu Makonda angalau ameweza kupata TULIZO japo kwa MUDA...

Pointi yangu hapa ni kwamba, ni vyema T.LISSU akakaa mbali kwa muda na hivi vyombo vya habari..
Umekosa pointi kwa yale ambayo Lisu huzungumza? Basi wewe ndiye utakuwa hujui pointi!
 
Yaani ccm awataki kukubali ukweli asiyependa ukweli ni mnafiki vita ya uchumi inahitaji watu wa kweli kweli kweli
 
Ha ha ha bastola ya nini tena jamani? mimi hapo tu ndo napapendaga....ha ha
 
Kama ulimsikiliza Lissu hukufahamu alichosema.
Lissu hakusema ACACIA wasiguswe. Lissu alitahadharisha tu kwamba Tanzania wamesaini mikataba inayoridhia kunyonywa na kuibiwa kwa hiyo ijitoe kwanza huko ........ baadaye ndio ...


Utachapisha mavideo ya Lisu leo mpaka utachoka lakini haisaidii.
 
Kikwete anatuhumiwa kwa kusaini mkataba tata akiwa Waziri, na sio akiwa Rais kama inavyopotoshwa kwa makusudi. "Kosa" la Karamagi na Yona ni sawasawa na alilotenda JM Kikwete. But now it seems ukishakuwa Rais, unafutiwa makosa yote uliyotenda kabla, wakati na baada ya uRais wako.
 
Lissu si wakupuuzwa hata kidogo

Kwani anachokiongea huwa ni ukweli au sikweli?

Kwani mikataba mibovu haikusainiwa na hao waliotajwa?
 
Back
Top Bottom