hapana mkuu.Langu nje ya mada kidogo...
Hivi mtoto wa chini ya miaka 18, anaruhusiwa kujiandikisha/kuandikishwa ili apate kitambulisho cha uraia..??
kutoka 50000.Tsh 150,000 simchezo
Tupatie vinavyohitajika,tusijekurudishwa kwa kukosa vielelezo au kiwango Fulani cha pesa na deadline ndio hii.wanasema ikifika saa kumi, wote waliopo watahakikisha wanahudumiwa.
nimesikia jamaa yao mmoja anajinadi redioni
Kwa nilichokishuhudia, huo ndo ukweli wenyewe.wanasema ikifika saa kumi, wote waliopo watahakikisha wanahudumiwa.
nimesikia jamaa yao mmoja anajinadi redioni
Naomba kujuzwa mahitaji ambayo ni lazima uwe nayo ili ufikie vigezo vya kubadilishiwa Passport.
Kuna wanaosema lazima uwe na 150,000/=.
Je, ni kweli?
Kwahiyo chini ya miaka 18 anakuwa raia wa nchi gani? Chini ya miaka 18, haruhusiwi kumiliki laini ya simu..? Passport inataka kitambulisho cha uraia, inakuwaje hapo kwenye kupata passport ya mtoto wako aliye below 18?hapana mkuu.
hadi atimize miaka 18, ndio maana wale jamaa hawafungi ofisi zao
mkuu maswali magumu hayo.Kwahiyo chini ya miaka 18 anakuwa raia wa nchi gani? Chini ya miaka 18, haruhusiwi kumiliki laini ya simu..? Passport inataka kitambulisho cha uraia, inakuwaje hapo kwenye kupata passport ya mtoto wako aliye below 18?
Pass ni wajibu wa kila mtu kuwa nayo hata watoto, na ingeongeza mapato imagine kila mwaka watz 1.5M wakipata pass ambayo inalipiwa 150K kila moja watapata TZS ngapi!!!Hivi nchi nyingine unachukua pass kama nyanya?? Hawaulizi vidhibitisho na ushahidi wa uendako?
matunduizi, Uhamiaji wanadai ni Watanzania 200000 tu ndo wanapass za kielektroniki katika ya Watanzania zaidi ya M55 kwahiyo kupata pass ni anasa katika nchi yetu.
Unatakiwa uwe na uthibitisho wa uraia wa mzazi wako. Sisi wa miaka ya 47 wazazi wetu hawakuwa na vyeti vya kuzaliwa. Hivyo unamtafuta mzee wa miaka 90 aje kuthibitisha kuwa alikuwepo wakati baba yako anazaliwa na kuwa alijulishwa hivyo na babu yako ambaye ndiye baba mzazi wa baba yakomatunduizi, Uhamiaji wanadai ni Watanzania 200000 tu ndo wanapass za kielektroniki katika ya Watanzania zaidi ya M55 kwahiyo kupata pass ni anasa katika nchi yetu.
Sasa kama wanataka Watanzania wote tuwe na hizo Pasi za Kusafiria kwanini wasipunguze Gharama yake na pia waondoe Urasimu wake ambao upo na umekuwa ukilalamikiwa sana hapo Uhamiaji Mkuu? Je, ukitumia tu ' Logic ' ya kawaida hapo Kosa ni la hao Watanzania Milioni 55 au ni Wao wenyewe?
Mkuu, juzi nimeenda kurasini vigezo vyote nilitimiza. Niliingia saa 4 asubuhi nikaitwa counter saa 7, nikaingia biometric saa 10. Saa 10:20 nikawa nimemaliza kila kitu nikaambiwa next week niende mambo ya ndani kuchukua.jamaa anasema hakuna hayo mambo, vishoka tu ndio walia watu fedha bure wakati taratibu ziko wazi.
Kama rushwa zipo hadi hapo, basi ndio maana hiyo kitu inafanywa kama kitu kikuubwa
Wanaikosesha serikali Mapato hao watu wa uhamiaji.chukulia ingetoa hata passport milioni moja tu kwa mwezi kila passport Ni laki moja na nusu .Serikali ingepata bilioni 150 chap chap ndani ya mwezi mmoja tumatunduizi, Uhamiaji wanadai ni Watanzania 200000 tu ndo wanapass za kielektroniki katika ya Watanzania zaidi ya M55 kwahiyo kupata pass ni anasa katika nchi yetu.