Kwanini kwa Mzungu ' Kujamba ' hadharani inapobidi ni Jambo la Kawaida tu, ila kwa Mwafrika ni Kitendo cha Aibu na Utadharaulika?

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Jul 13, 2013
56,546
108,874
Muda si mrefu tu nimetoka Kupanda Gari ya Mwendo Kasi na Mzungu Mmoja hivi na wakati Safari ikiwa inaendelea huku muda wote akiwa anajisomea Kitabu chake ( Novel ) katika hali yake ya Utulivu na Nidhamu kabisa ' akajamba ' na alipoona nimejua ni Yeye akaniangalia na kuniambia kwa Kiingereza ' are you bothered by this? ' kwakuwa ' Ushuzi ' wenyewe ulikuwa na harufu ' Rafiki ' Kimazingira ( yaani haunuki kivile ) nami nikamjibu ' no problem ' na kila Mtu akaendelea na Utaratibu wake.

Wiki kama tatu nyuma nilipanda DalaDala la Tegeta - Kivukoni nakumbuka Abiria Mwenzetu Mmoja ( hakuwa GENTAMYCINE ) ' alijamba ' ila baada ya Abiria wote Kufanya Msako wao wa ' Kimya Kimya ' wa Kunusa na Kuihisi ' Ushuzi ' ule ulikuwa unatokea wapi na Kumgundua ' Mlengwa ' halisi wa ' Ujambaji ' ule Jamaa aliandamwa kwa Kusemwa, Kushutumiwa na hata Kutukanwa hadi akalazimika ashuke Kituo ambacho hakukilenga Kushukia hapo.

Je, kwanini kwa Wazungu Kujamba Kwao ni Jambo la kawaida sana lisilohitaji Mjadala mrefu, ila Kwetu Sisi Waafrika utasemwa hadi Ukome hasa?
 
Yaani hili swali nilikuwa nikijiuliza sana, kwa sababu katika mazingira ambayo nipo kuna hawa wa Asia, aisee jamaa nao wanajiachia si mchezo, tena kwa sauti kabisa acha ile ya yusuuuf.

Tena juzi jamaa kajiachia huku anakula, sasa nashindwa hata kushangaa.

Ngoja tusubiri majibu.
 
Ki Africa kujamba ni nusu ya kwenda choo. Tunafundisha watoto tangu wakiwa wadogo kuwa kujamba kunafanyika kwenye faragha na ikiwezekana ni chooni.

Kwa wazungu kujamba ni kupumua,ni kitendo cha kutoa hewa chafu kama vile unavyotoa hewa chafu kupitia pua. Hata hivyo huwezi kukutanawna mzungu anaejiheshimu akajamba kwenye kadamnasi.
 
Muda si mrefu tu nimetoka Kupanda Gari ya Mwendo Kasi na Mzungu Mmoja hivi na wakati Safari ikiwa inaendelea huku muda wote akiwa anajisomea Kitabu chake ( Novel ) katika hali yake ya Utulivu na Nidhamu kabisa ' akajamba ' na alipoona nimejua ni Yeye akaniangalia na kuniambia kwa Kiingereza ' are you bothered by this? ' kwakuwa ' Ushuzi ' wenyewe ulikuwa na harufu ' Rafiki ' Kimazingira ( yaani haunuki kivile ) nami nikamjibu ' no problem ' na kila Mtu akaendelea na Utaratibu wake.

Wiki kama tatu nyuma nilipanda DalaDala la Tegeta - Kivukoni nakumbuka Abiria Mwenzetu Mmoja ( hakuwa GENTAMYCINE ) ' alijamba ' ila baada ya Abiria wote Kufanya Msako wao wa ' Kimya Kimya ' wa Kunusa na Kuihisi ' Ushuzi ' ule ulikuwa unatokea wapi na Kumgundua ' Mlengwa ' halisi wa ' Ujambaji ' ule Jamaa aliandamwa kwa Kusemwa, Kushutumiwa na hata Kutukanwa hadi akalazimika ashuke Kituo ambacho hakukilenga Kushukia hapo.

Je, kwanini kwa Wazungu Kujamba Kwao ni Jambo la kawaida sana lisilohitaji Mjadala mrefu, ila Kwetu Sisi Waafrika utasemwa hadi Ukome hasa?
Mila na tamaduni zinatofautina mkuu.

Mfano mapaja kuwa nje kwa mzungu siyo aibu lakini kwa mwafrika ni aibu. Tena ukiliona paja wazi la mzungu mnkali haupandi lakini ukiliona kaja wazi la mama wa kiafrika lazima unapata msisimko.

Lakini pia titi la mwafrika kuwa nje wala hakuna mwafrika atalishangaa hilo titi (especially mama anavyonyonyesha), lakini mzungu hawezi kuonyesha titi lake hadharani. Kwani kwa tamaduni zao ni aibu.

Kwa hiyo mila zinatofautiana kati ya yetu na wazungu
 
Mila na utamaduni tu, jaribu kubeua ukiwa na mzungu au wazungu, tena usifunike mdomo! Aise watakusakama na kukata jicho la kuua kabisa.
Wanadai ukibeua mbele ya Waarabu ni kuwapa heshima kuwa umekula chakula kitamu na ukashiba...
Kupiga mihayo na bila kufunika mdomo ni utovu wa nidhamu kwa Wazungu..
Hizi mila na tamaduni ni shida kwa kweli...
 
Hivi Hawa wazungu wanatutaka nini hasa! yaani sasa tunadai Uhuru wa kujamba hadharanikweli?
 
Inategemea na mchanganyiko wa chakula uliopo tumboni, mzungu kala zake chakula cha uhakika lazima atatoa perfume, asa mwafrika hana mpangilio wa kula, mara kala mahindi ya kuchemsha, karanga, mihogo, nazi, ubuyu hapo unategemea atatoa nini kama sio bomu
 
Muda si mrefu tu nimetoka Kupanda Gari ya Mwendo Kasi na Mzungu Mmoja hivi na wakati Safari ikiwa inaendelea huku muda wote akiwa anajisomea Kitabu chake ( Novel ) katika hali yake ya Utulivu na Nidhamu kabisa ' akajamba ' na alipoona nimejua ni Yeye akaniangalia na kuniambia kwa Kiingereza ' are you bothered by this? ' kwakuwa ' Ushuzi ' wenyewe ulikuwa na harufu ' Rafiki ' Kimazingira ( yaani haunuki kivile ) nami nikamjibu ' no problem ' na kila Mtu akaendelea na Utaratibu wake.

Wiki kama tatu nyuma nilipanda DalaDala la Tegeta - Kivukoni nakumbuka Abiria Mwenzetu Mmoja ( hakuwa GENTAMYCINE ) ' alijamba ' ila baada ya Abiria wote Kufanya Msako wao wa ' Kimya Kimya ' wa Kunusa na Kuihisi ' Ushuzi ' ule ulikuwa unatokea wapi na Kumgundua ' Mlengwa ' halisi wa ' Ujambaji ' ule Jamaa aliandamwa kwa Kusemwa, Kushutumiwa na hata Kutukanwa hadi akalazimika ashuke Kituo ambacho hakukilenga Kushukia hapo.

Je, kwanini kwa Wazungu Kujamba Kwao ni Jambo la kawaida sana lisilohitaji Mjadala mrefu, ila Kwetu Sisi Waafrika utasemwa hadi Ukome hasa?
No sense u guy grown up now!
 
No sense u guy grown up now!

Pumbavu kabisa Wewe hili ni Jukwaa la Utani hivyo acha Kunipangia nini cha Kuandika pindi uionapo ID hii ikiwa hapa hewani sawa? Tena ukome kabisa ' Takataka Kinyesi ' Wewe sawa? Unaponiambia nikue kwakuwa tu nimekuja na huu Utani wa aina hii hapa kama tu Kuchangamshana Masaa yaende mbona Sinema za akina Marehemu Mzee Majuto, Kingwendu na hata akina Mr. Bean mnaziangalia Kutwa? Hawa ni Vijana au Wazee? Pumbavu na huu ni Utangulizi wangu tu Kwako nasubiri unijibu tena ' Kipopoma ' ili nimalize rasmi Kazi Kwako na uiheshimu ID hii daima milele amina. Na ungekuwa umeelewa maana na dhana Kuu iliyoko nyuma ya ' Signature ' yangu isemayo " Purely Talented, Charismatic Fella, Game Changer and Entertainer " wala usingekuja Kuniandikia hapa huu ' Upuuzi ' wako. Shenzi kabisa Wewe! Na hata Kiingereza chenyewe tu ulichokiandika kwa Watu ' Wordsmiths ' kama Sisi umekikosea na Kuchapia vile vile.

This is GENTAMYCINE ANTIBIOUTIQUE!
 
wazungu vyakula vyao ni laini na vingi ni vile vilivyosindikwa..sasa mtu anakujambia katoka kula dona la nguvu,kisamfu,togwa ama kichuri..unahisi huo ujambo utakuwa ni wa nchi hii kweli..?!!?
 
Mila na desturi ndo sababu kuu, ukiachana na miaka ya hivi karibuni lakini enzi hizo mu-Africa kukaa matiti wazi ni jambo lisilozua mjadala ila kwa mzungu ni tofauti kabisa!
 
Back
Top Bottom