deo paul555
JF-Expert Member
- Oct 22, 2018
- 1,405
- 520
Habari wadau, naomba kujuzwa kwanini kumekuwepo na mfumo wa aina mbili kupata matangazo ya runinga yaani dish na antenna lengo lake ni nini ikiwa matangazo ni yale yale?
Na gharama zikoje kuendesha hiyo mifumo kwenye kampuni husika?
Na gharama zikoje kuendesha hiyo mifumo kwenye kampuni husika?