Baba_Enock
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 7,076
- 2,443
Acha unafiki wewe! Kuna tatizo gani kuwa na wa-TZ visiwani 4 kwenye baraza? na uzuri ni kwamba wanashika wizara ambazo ni za Muungano hivyo hakuna ubaya hapo. nani alikwambia kwamba uwaziri unatokana na mikoa? Mbona tunaleta porojo zisizokuwa na mshiko hapa!!!
Pia angalia vizuri hilo baraza mikoa yote uliyoitaja imetoa anagalu manaibu waziri: Mfano L. Nyalandu (naibu viwanda/biashara) anatoka Singida Kskzn, Mh. G. Teu (Fedha) anatoka Mpwapwa, Mh. C. Chizza (Kilimo) anatoka Buyungu - Kibondo, Kigoma. Tatizo lenu mmetawaliwa na sera za ukabila na upendeleo za CCM! Ingekuwa CDM mngepiga kelele sana ooh upendeleo sijui nini vile! Mbona Kilimanjaro imetoa wengi hamjapiga kelele (Maghembe, Matayo, Mwanri, Cyril, na ukipenda hata Lucy mweke huko)
Job K,
Baba_Enock sio mnafiki!
Soma Katiba ya JMT Ibara ya 55(2):
(2) Pamoja na Mawaziri waliotanjwa katika ibara ndogo ya (1), Rais aweza, baada ya kushauriana na Waziri Mkuu, kuwateua Naibu Mawaziri. Naibu Mawaziri wote hawatakuwa wajumbe wa Baraza la Mawaziri.