Stroke
JF-Expert Member
- Feb 17, 2012
- 34,668
- 40,914
- Thread starter
- #21
lengo hapa ni kuongeza wigo wa mapato; kama hili ni viable ; lifanyike tu. sio kutegemea vyanzo vile vile kila Mara. mfano; vinywaji, mafuta,madini, etc.Na siku zote mashetani wanafikiri ushetani wao na kutaka watu wote waishi kama mashetani