Kwanini kusiwe na mshindani wa NHIF? Kiukweli wanachofanya ni dhuluma

kagoshima

JF-Expert Member
Dec 31, 2015
2,631
5,137
Nimetumiwa meseji na Mfuko wa bima ya afya ya taifa NHIF inasema nanukuu " kadi ya mtoto wako .....itakoma kutumika tarehe .... Mwezi wa kumi namoja baada ya kutimiza umri wa miaka 18. Fika ofis ya NHIF au piga 0800110063" mwisho wa kunukuu.

Ninachangia laki moja na elfu ishirini kila mwezi toka kwenye mshahara wangu kwenye mfuko wa NHIF. Nina watoto wa wili wa kike , mmoja 18 years kasoro, wapili 15 years. Hawa ndo Dependants wanufaika wa mfuko ukiniacha mie. Mke wangu ni mchangiaji pia hivyo naye anatumia bima kutokana na michango yake.

Kwa umri wangu ntaendelea kuchangia for 15 years more nikiwa mwajiriwa.

Sasa hapa wizi ninaouona nikwamba pamoja na kuchangia Sh. Laki moja kila mwezi watoto wangu ati wanaondolewa kama beneficiaries eti ametimiza 18 years. Huyo mtoto bado ni Dependants maana yupo shule bado. Siomwajiriwa au anayejitegemea.

Pili value ya mfuko wa bima ya afya inaonekana pale unaposaidia kutibu close Dependants kama watoto ,baba na mama. Sasa kamna waondoa watoto then value ya hicho ninacho changia haipo ndipo ninapohisi kudhurumiwa.

Nauliza wadau. Hivi hakuna mfuko mbadala zaidi ya NHIF? Na kama ipo, je sheria inaruhusu kujitoa kwenye huu mfuko nyonyaji wa NHIF.
 
Hudhulumiwi, isipokuwa hiyo fedha inamsaidia mnufaika mwingine wa NHIF ambaye pengine amelazwa muda mrefu au anaumwa ugonjwa sugu wenye gharama kubwa sana ya matibabu kuliko kiasi chake anachochangia kwa mwezi/mwaka.
 
Mhhh hayo mahaba sasa, kumsaidia ndiyo iwepesa yote hiyo? Hiyo mifuko Hata ingefanya sh elfu kumi Kwa mwaka ingetosha kabisa, Kwani wanaumwa ni wachache kuliko wazima
Wanaoumwa wako wengi. Wangi wanakomaa na mizizi na wengi zaidi hukata tamaa kwamba hawatamudu gharama na kufia makwao especially wapiga kura. (Sijamtaja mtu)
 
Nimetumiwa meseji na Mfuko wa bima ya afya ya taifa NHIF inasema nanukuu " kadi ya mtoto wako .....itakoma kutumika tarehe .... Mwezi wa kumi namoja baada ya kutimiza umri wa miaka 18. Fika ofis ya NHIF au piga 0800110063" mwisho wa kunukuu.

Ninachangia laki moja na elfu ishirini kila mwezi toka kwenye mshahara wangu kwenye mfuko wa NHIF. Nina watoto wa wili wa kike , mmoja 18 years kasoro, wapili 15 years. Hawa ndo Dependants wanufaika wa mfuko ukiniacha mie. Mke wangu ni mchangiaji pia hivyo naye anatumia bima kutokana na michango yake.

Kwa umri wangu ntaendelea kuchangia for 15 years more nikiwa mwajiriwa.

Sasa hapa wizi ninaouona nikwamba pamoja na kuchangia Sh. Laki moja kila mwezi watoto wangu ati wanaondolewa kama beneficiaries eti ametimiza 18 years. Huyo mtoto bado ni Dependants maana yupo shule bado. Siomwajiriwa au anayejitegemea.

Pili value ya mfuko wa bima ya afya inaonekana pale unaposaidia kutibu close Dependants kama watoto ,baba na mama. Sasa kamna waondoa watoto then value ya hicho ninacho changia haipo ndipo ninapohisi kudhurumiwa.

Nauliza wadau. Hivi hakuna mfuko mbadala zaidi ya NHIF? Na kama ipo, je sheria inaruhusu kujitoa kwenye huu mfuko nyonyaji wa NHIF.
Pole

Ukiwa ni mtumishi wa umma hakuna mfuko mbadala zaidi ya NHIF ambayo ni lazima;

Hata mtoto wako angekuwa na miaka 40 bado angestahili kufaidika na bima yako, ishu sio umri au kujitegemea kwa mnufaika, cha kuzingatia ni slots zinazotolewa kwa mnufaika ndio zizingatiwe. Umepewa nafasi 5 zitumike hizo bila kujali ni kina nani wananufaika na bila kujali hata umri wao;

Hapo bado hujakwenda hospitali na kuambiwa ugonjwa huu haupo katika magonjwa yanayotibiwa kwa NHIF. Yaani unachangia laki na ishirini kwa mwezi, mtoto wako akiumwa unamlipia tena kumtibu na wewe mwenyewe ukienda hospitali kutibiwa bado utatakiwa kujilipia😭😭

Hizi ndio sheria zinazoitwa kandamizi, zikifuatiwa na sheria ya utumishi wa umma, sheria ya mifuko ya jamii na sheria za kodi, tuna nafasi ya kuzibadilisha, tuitumie vizuri.
 
Nimetumiwa meseji na Mfuko wa bima ya afya ya taifa NHIF inasema nanukuu " kadi ya mtoto wako .....itakoma kutumika tarehe .... Mwezi wa kumi namoja baada ya kutimiza umri wa miaka 18. Fika ofis ya NHIF au piga 0800110063" mwisho wa kunukuu.

Ninachangia laki moja na elfu ishirini kila mwezi toka kwenye mshahara wangu kwenye mfuko wa NHIF. Nina watoto wa wili wa kike , mmoja 18 years kasoro, wapili 15 years. Hawa ndo Dependants wanufaika wa mfuko ukiniacha mie. Mke wangu ni mchangiaji pia hivyo naye anatumia bima kutokana na michango yake.

Kwa umri wangu ntaendelea kuchangia for 15 years more nikiwa mwajiriwa.

Sasa hapa wizi ninaouona nikwamba pamoja na kuchangia Sh. Laki moja kila mwezi watoto wangu ati wanaondolewa kama beneficiaries eti ametimiza 18 years. Huyo mtoto bado ni Dependants maana yupo shule bado. Siomwajiriwa au anayejitegemea.

Pili value ya mfuko wa bima ya afya inaonekana pale unaposaidia kutibu close Dependants kama watoto ,baba na mama. Sasa kamna waondoa watoto then value ya hicho ninacho changia haipo ndipo ninapohisi kudhurumiwa.

Nauliza wadau. Hivi hakuna mfuko mbadala zaidi ya NHIF? Na kama ipo, je sheria inaruhusu kujitoa kwenye huu mfuko nyonyaji wa NHIF.
Mkuu inabidi uzae mwanao mwingine au mjukuu ili uendelee kura haki yako.Ukichagua CCM ujue hata wewe watakutoa kama beneficiary.Ukichagua LIssu basi mambo yatakuwa sawa.TUNA JAMBO LETU 28OCTOBER
 
Hio ni kawaida kwa mifuko yote ya bima hata bima za Private. Kuna umri Fulani dependents wakifikia inabidi wawe na bima zao. Inategemea na bima, zingine zinasema 18years zingine 21years.

Labda ungeenda NHIF na documents zake urequest waextend useme bado ni mwanafunzi labda unaeza kusaidiwa.
Ndio utaratibu ulivyo au unabashiri

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Hio ni kawaida kwa mifuko yote ya bima hata bima za Private. Kuna umri Fulani dependents wakifikia inabidi wawe na bima zao. Inategemea na bima, zingine zinasema 18years zingine 21years.

Labda ungeenda NHIF na documents zake urequest waextend useme bado ni mwanafunzi labda unaeza kusaidiwa.
Walianza kuwaondoa wa 26 wakaja kumaliza mchezo na 18

Sent from my Nokia 1 using JamiiForums mobile app
 
Nimetumiwa meseji na Mfuko wa bima ya afya ya taifa NHIF inasema nanukuu " kadi ya mtoto wako .....itakoma kutumika tarehe .... Mwezi wa kumi namoja baada ya kutimiza umri wa miaka 18. Fika ofis ya NHIF au piga 0800110063" mwisho wa kunukuu.

Ninachangia laki moja na elfu ishirini kila mwezi toka kwenye mshahara wangu kwenye mfuko wa NHIF. Nina watoto wa wili wa kike , mmoja 18 years kasoro, wapili 15 years. Hawa ndo Dependants wanufaika wa mfuko ukiniacha mie. Mke wangu ni mchangiaji pia hivyo naye anatumia bima kutokana na michango yake.

Kwa umri wangu ntaendelea kuchangia for 15 years more nikiwa mwajiriwa.

Sasa hapa wizi ninaouona nikwamba pamoja na kuchangia Sh. Laki moja kila mwezi watoto wangu ati wanaondolewa kama beneficiaries eti ametimiza 18 years. Huyo mtoto bado ni Dependants maana yupo shule bado. Siomwajiriwa au anayejitegemea.

Pili value ya mfuko wa bima ya afya inaonekana pale unaposaidia kutibu close Dependants kama watoto ,baba na mama. Sasa kamna waondoa watoto then value ya hicho ninacho changia haipo ndipo ninapohisi kudhurumiwa.

Nauliza wadau. Hivi hakuna mfuko mbadala zaidi ya NHIF? Na kama ipo, je sheria inaruhusu kujitoa kwenye huu mfuko nyonyaji wa NHIF.
Kwani masharti ya wanufaika yanasemaje

?
 
Back
Top Bottom