WomanOfSubstance
JF-Expert Member
- May 30, 2008
- 5,457
- 956
Umaskini uliokithiri....na matokeo yake kuna...
Maambukizi ya kutisha ya HIV na Ugonjwa wa UKIMWI.....MALARIA, magonjwa mengineya tropiki, utapiamlo.....elimu duni.....na mengineyo.Tukiangalia kwa undani tunapata kwamba nchi nyingi kusini mwa jangwa hili zina utajiri wa kutisha wa maliasili - ardhi yenye rutuba, hali nzuri ya hewa, madini ya kila aina, misitu , wanyama na ndege wa kila aina, maji ( mito, maziwa,bahari),mvua za kutosha.......na mengineyo mengi!
TATIZO NI NINI??????
Maambukizi ya kutisha ya HIV na Ugonjwa wa UKIMWI.....MALARIA, magonjwa mengineya tropiki, utapiamlo.....elimu duni.....na mengineyo.Tukiangalia kwa undani tunapata kwamba nchi nyingi kusini mwa jangwa hili zina utajiri wa kutisha wa maliasili - ardhi yenye rutuba, hali nzuri ya hewa, madini ya kila aina, misitu , wanyama na ndege wa kila aina, maji ( mito, maziwa,bahari),mvua za kutosha.......na mengineyo mengi!
TATIZO NI NINI??????