johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 82,754
- 139,558
Kwa mujibu wa magazeti ya leo ni kwamba pamoja na Mtulia kushinda kwa kishindo kwa kupata kura 30,000 plus, lakini kura hizo ni pungufu kwa zaidi ya kura 40,000 plus ukilinganisha na kura alizopata mwaka 2015. Hii inamaanisha nini kwenye demokrasia?
Chanzo: Magazetini!
Chanzo: Magazetini!