johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,840
- 141,761
- Thread starter
- #21
Nimekuelewa maana watu wanachagua chama siyo mtu, good!Hilo gazeti nafikiri wangeandika hivi UKAWA mgombea wao 2015 alipata kura elfu 70 safari hii mgombea wao wa UKAWA Salum Mwalimu kapata kura elfu 12 ambazo ni pungufu ya kura elfu 58 inamaanisha nini kwa UKAWA?