Kwanini kunakosekana neno 'Live' kwenye chaneli za Azam TV wakati wa mechi za moja kwa moja?

Tyupa

JF-Expert Member
Aug 11, 2013
802
653
Tunaangalia mpira kombe la mapinduzi Zanzibar saa hizi saa kumi na nusu lakini wakati mpira unaendelea baadhi wakadai kuwa huo mpira ni zamani kwa sababu hakuna alama ya live.Kwa wale wanaofuatilia ratiba wakasema ni live ila tu Azam tv wao hawapendi hilo neno liwepo.Sasa Azam kama wao hawapendi kwa nini wasifuate wateja wanavyotaka?TV zote duniani zinapotangaza jambo jipya hasa mpira neno live ni muhimu kwa sababu linamwezesha anaeangalia ajue kuwa ni habari ya zamani au mpya.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hawa jamaa wanaboa sana, akili zao zinawatosha wenyewe. Mipira ya ulaya, Uganda na Rwanda kupitia Azam Sports HD na Azam one wanaweka neno 'live'. Huu wa leo wameamua kukaa kimya as if wana uhakika kila mtu anafuatilia ratiba zao ba vipindi vya michezo.
Kawaida mgema akisifiwa tembo hulitia maji.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu tatizo haya mambo yana haki zake ukilitumia hilo neno live....refer ligi kuu bara zamani walikuwa hawaandiki neno live ila sasa hivi wanaandika....kuna mambo mengine yanahitaji upate rights za kufanya hivyo.....kwa upeo wangu mdogo tu naelewa hivyo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hawa jamaa wanaboa sana, akili zao zinawatosha wenyewe. Mipira ya ulaya, Uganda na Rwanda kupitia Azam Sports HD na Azam one wanaweka neno 'live'. Huu wa leo wameamua kukaa kimya as if wana uhakika kila mtu anafuatilia ratiba zao ba vipindi vya michezo.
Kawaida mgema akisifiwa tembo hulitia maji.

Sent using Jamii Forums mobile app
Sio kweli !napinga nitafafanua kesho!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
AZAM wanaboa kweli...sahv ile chanel ya azam2 ni tamthilia za kihindi na kiarabu fulltime utafikiri tupo asia.azam badilikeni mnatuchosha na matamthilia yenu ya asia hatupo india hapa tupo tanzania.tulipata ahueni kidogo wakati ule wa movies mlipoleta hzo tamthilia du natamani kubadili kingamuzi.
 
AZAM wanaboa kweli...sahv ile chanel ya azam2 ni tamthilia za kihindi na kiarabu fulltime utafikiri tupo asia.azam badilikeni mnatuchosha na matamthilia yenu ya asia hatupo india hapa tupo tanzania.tulipata ahueni kidogo wakati ule wa movies mlipoleta hzo tamthilia du natamani kubadili kingamuzi.

kwani lazima uangalie azam wao wamewawekeeni nyie wahutu sinema zetu angalie mpaka mchoke


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Hawa jamaa wanaboa sana, akili zao zinawatosha wenyewe. Mipira ya ulaya, Uganda na Rwanda kupitia Azam Sports HD na Azam one wanaweka neno 'live'. Huu wa leo wameamua kukaa kimya as if wana uhakika kila mtu anafuatilia ratiba zao ba vipindi vya michezo.
Kawaida mgema akisifiwa tembo hulitia maji.

Sent using Jamii Forums mobile app
Imekia tivii ya hovyo sana. Kwy mobile app ndio kinyesi kabisa. Mpira ukianza tu inastack, wakati ukienda ZBC ni swala mwanzo mwisho hata huna bando

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nani mpenzi wa cinema zetu....sinema zetu ni za kimama ndyo wanapenda.azam2 ndyo chanel pekee iliyokuwa inapendwa sbb za ratiba yao nzuri kuanzia taarifa ya habari mpaka vpind vingne.walipoacha taarifa ya habari wakanza na movies kidogo haikuwa mbaya.tatizo walipoweka matamthilia yao ya kihndi fultime imekuwa shda.utafikiri tupo asia.ukiangali upande wa package ya chanel zao zote ni za kihindi na waarabu yani hadi shda.azam badilikeni wekeni chanel nyngne km ABC SABC nk
 
Back
Top Bottom