Kwanini kuna vyuo vingi vya bandia vya kusomea unesi Tanzania?

mmaroroi

JF-Expert Member
May 8, 2008
2,960
544
Kuna vyuo vingi vya kufundishia unesi ambavyo havijasajiliwa na serikali haichukui hatua,pia wanafunzi wa vyuo hivyo haiwatambui,mbona sasa haivisajiliau kuvifuta?
 
Kuna Vyuo vingi vya kufundishia Unesi/Manesi ambavyo havijasajiliwa na serikali haichukui hatua,pia wanafunzi wa vyuo hivyo Serikali haiwatambui,mbona sasa haivisajiliwi/kuvifuta?
 
Serikali ivichunguze vyuo hivi kwani vinatengeneza wahitimu bandia kwa kuwatengenezea vyeti.Kuna hatari ya kuwapata manesi wauaji kwa kutojua kazi husika.SERIKALI CHUNGUZA CHUKUA HATUA.
 
Kwa nini Mkuu umetumia post nne kwa thread inayokaa vema kwenye post moja?
 
kuna kuna serikali halali tz? ipi ? na ya nani?
maana serikali iliyochagulwa na wananchi imechakachuliwa,wajanja wakaendelea na yakwao,hivyo sioni ajabu kutokuwa na utekelezaji wa majukumu ya mhimu
:hippie:
 
kwa sababu ya serikali iliyopo madarakani ipo kwa ajili ya masilahi yao binafsi hilo kwao sio tatizo maana wakiumwa wanaenda kutibiwa nje,hata JK alisema shule za private wajaribu kupunguza ada lakini mpaka leo kimya lakini kukataa certificate za raia wake na wakati wizara husika ipo inaendelea kukataa badala ya kufuatilia hizo shule na kusifungia ndiyo maana hata vipodozi vilivyokatazwa wizara husika haishughulikia kuingizwa kwa vipodozi vilivyokatazwana wala hawashiki wale wa kuuza jumla ila wanaenda mitaani kwa viduka vidogo na kushika vikopo viwili wanaitwa waandishi wa habari kutangaza
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom